amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Imekuwa ni hali ya kawaida kwa baadhi ya dada zetu kuvaa nguo zisizo na maadili.
Je hii ni kwaajili ya kutafuta soko au fasheni. Na je wazazi wako na ndugu zako wanakuchukuliaje, na wewe mwanaume ambaye upo kwenye mahusiano unajionaje mwezi wa anavyovaa nusu utupu?
Je hii ni kwaajili ya kutafuta soko au fasheni. Na je wazazi wako na ndugu zako wanakuchukuliaje, na wewe mwanaume ambaye upo kwenye mahusiano unajionaje mwezi wa anavyovaa nusu utupu?