Wasichana kuvaa nusu utupu ni kutafuta soko au fasheni?

Wasichana kuvaa nusu utupu ni kutafuta soko au fasheni?

Na kweli mimi na mshamba hasa, maana nimezaliwa shamba na ninaishi shamba! Cha ajabu wewe wa mjini unapiga kelele na vimini...POLE wa mjini! Ila kumbuka, umalaya ni mtazamo wako, waache wavae, kama yamekushinda njoo shamba! Sio unakaa mjini akili ipo katika vimini vya wanawake, fanya yako!!

Acha ushamba dogo,apige mini au bikin anapaswa kumvutia mumewe tu tena chumbani na sio kumvutia kila mwanamume mtaani,huo ni Umalaya.
 
wanakuuusuuu acha ushamba baana unataka tusione hata ya ndani
 
Unatazama weeeeeeee ukifika nyumbani hushtuki aana ushazoea
 
weka picha

bila picha hii mada haiendi

Tupia picha mkuu

yeah mkuu.wengine hatuwezi kusoma .kapicha ka kusupport mada kahusike humu

Wavae tu tupendezeshe macho

Vimini.JPG
 
Hebu tuweke unafiki pembeni...mwanamke aliyepiga mini na aliyepigilia baibui, yupi anavutia macho yako?

Figure ya mwanamke mzuri hata kama yupo ndan ya baibui inasomeka tu mkuu, kuna figure hata ikipga mini vp kitu kitazid kusema charger not supported!
 
Charger not supported...Hahahaaaaa!
We chiboko mkuu!

Figure ya mwanamke mzuri hata kama yupo ndan ya baibui inasomeka tu mkuu, kuna figure hata ikipga mini vp kitu kitazid kusema charger not supported!
 
Kama huuzi mbona unatangaza? (If you are not selling why do you advertize)
 
ilo lishakuwa tatzo,na hii fashen haiishi inaboreshwa tu,,tujifunze kuwa vibur tu princple yangu luk at once only,hata iweje sirudii navunga bora macho yanilaumu
 
Ni shidaaaaaaa.........kila vazi inategemea na mazingira yanayokuzunguka kama vile pub,etc but dada zetu mchana kweupe maumbo yote yanaonekana!!!!! Lakini si vizuri bana mnatuhamasisha,,,,,
 
Hiyo ni kwa wale za kichina tu,ila kwa wale ambao Mungu kawajalia kweli mashallah hata hawana haja ya kuvaa nguo za ajabu wanavaa tu baibui.

kizur chajiuza kibaya chajitembeza
 
Back
Top Bottom