Wasichana wa Afrika Kusini ni hatari

Mnachezea pesa mkirudigi mnarudigi na viatu na manguo meengi tu.
 
Simulizi yako inatufundisha Nini! Wewe umejenga apartment ngapi? Acha kutamani maisha ya watu. Acha mtoa Uzi ale maisha. Life is too short.
 
Kuzidi watutsi?
Au eritreans women?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongelea vitu unavyoviona kwenye tv au magazeti na kuhadithiwa, South Africa kutokana na lishe bora na maisha mazuri mademu wengi ni wakali sana yani wana mvuto kuliko unavyoamini wewe.

Kwanza ujuwe unapoongelea South Africa kuna matabaka manne, wazungu, wahindi, coloured na wanyama, sasa pata picha hapo, hao coloured tu watutsi wanasubiri hapo, ni kama unavyoona watoto wakali wa kiarabu.
 
Mi nmeongea ukweli hii story ni ya Muddy na siku ile anasimulia tulikuwa wote nawe ulikuwa unanyolewa. Leo unakuja iweka huku kama vile ni yako...siyo sahihi.... Muddy mwenyewe ni vile hayumo JF na hukujua kuwa si wengine tupo. Na umejuaje kuwa huwa kijiwe chetu kipo Tandale au Mburahati? Unajichanganya mwenyewe na nikiwaambia wana kuwa una mambo ya Kiwaki watakupiga marufuku kuja pale kunyoa nywele na kupiga stories.
 
Daah hujui ulisemalo mkuu acha kukurupuka Baba Jazey onge na huyu mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bibi jaman.
 
Muulize konda msafi ..anajua wewe Cha mtoto.

Kifumbi wale watu wamejaliwa kuwa na bums na hawajui kunyima.
 
Watz mkienda nchi za watu mnawaza ngono tuuu...fanyeni kilichowapeleka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…