Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Umeona sasa...wooooiiiiWoyoooooo nimemuuliza baby kasema eti kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona sasa...wooooiiiiWoyoooooo nimemuuliza baby kasema eti kweli
Na thikomii thathaa😜😜😛Nmeyaona ukome kujifanya unawajua sana wasichana wenzio[emoji23][emoji23]
Kisayansi, joto hupotea kwa njia mbali mbali ikiwemo mvukizo(Evaporation)Naomba maoni yako ni kweli asemayo??? Maana wewe ndiye unaeweza kusema ukweli haswa kwenye hili
Mkuu ukiwa na ugwandu mengine huwezi kuyajali sana...Mzee wew hupendii..au umeridhika na madela yake?[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu wewee[emoji41]
Kisayansi, joto hupotea kwa njia mbali mbali ikiwemo mvukizo(Evaporation)
Mvukizo hutokea sehemu ambayo kwa kiasi kikubwa ni wazi. Ndio maana kwenye sehemu ya baridi huwa tunavaa nguo nzito ili kujikinga na upotevu wa joto mwilini.
Tusipovaa hizo nguo nzito tutahisi baridi maana joto litapotea kwa urahisi/haraka.
Jee sehemu ikiwa wazi muda mrefu utategemea iwe na joto la uhakika?..
Kwa mantiki hiyo ukisema kutojisitiri kuna sababisha ile sehemu pendwa kuwa ya baridi, ni kweli.
HakikaaaYan mimi nikionaga swaga zile nakimbilia kuangalia kitovu,yan kwa uzoefu wangu nikiona kitovu tu basi najua na huko kwingine kuna ladha ya namna gani
papuchi ya baridi n sawa na kula msosi husio na chumviDaah unajuaje wana papuchi za baridi
hamna kingine mnatafuta zaidi ya mapengoDaah hivyo viatu...! Ila sie wamama tunachotafuta ipo siku tutakipata
Unadhani umejibu nilichouliza?papuchi ya baridi n sawa na kula msosi husio na chumvi
Na tutayapata [emoji23][emoji23]hamna kingine mnatafuta zaidi ya mapengo
I guess so. Mana msosi kutokuwa na chumvi always kunapoteza ladha. So absence of ladha it indicates that papuchies temperature is below average.Unadhani umejibu nilichouliza?
hahahaaaa dada sky kumbe unayatambua vizuri maeneo yanayotuvutia sasa kama umeharibu chini kwa likitambi unabakisha uso tu maana hatutaona hips chura na vinginevyo heko dadaUkiwa na kitambi unaangukia kwenye madera, unajitahidi tu kupolish uso na make up maana ndiyo attraction iliyobaki