Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

Ndala ndefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
237
Reaction score
42
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.
 
Wacha weeh...kazi unayo.Vuta subira.
 
kuna mmoja matata kweli nili PM akanijibu niache maneno mengi anachotaka pesa tumalize mchezo..chezea mademu wa jf
 
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.


Kwa kuwa umeweka vigezo, lazima utakaye mpata naye azingatie vigezo. Kimoja wapo ndio hicho mkwanja.
 
Pole sana. Jf' hakuna mke humu kuna wapiga mizinga tu.
 
Madume wenzio hayo, chezea JF wee; maopportunists wote wako humu
 
Kaka na ujanja wote huo? Alitaka ukomae banaa. Unajua mdada shurti udengue, sasa kwenye pm hamna majani ya kukata kata ndo madenguo hayo kaka.
Mimi sipendi nikuite dada maana iko siku nitakutongoza na wewe, turudi kwenye maaada alinijibu kwa ufupi sana acha longo longo ni pesa yako tu sasa hapo nitakomaa nini tena, hapa navuna mahindi na pamba yangu ndiyo nimtafute...
 
hahahhahhaa, sasa si alitaka elfu hamsini tu ya vocha. angewasilianje na wewe. lol
 
Kama kweli unatafuta mke, hapa hayupo, tafadhali jaribu menu nyingine.
 
ha haaa,jamani wapo,ila tu ww hujakutana nae!
Halafu na nyie mmezidi,vigego kibao,ndo maana mnawapata hao
 
sasa wewe vigezo umeweka lakini wenzako wakikuwekea vigezo hutaki,kama hela yako inakutosha mwenyewe usisumbue mabinti zetu humu tuachie tuwatafune wenyewe hela yenyewe imeshikana na ngozi ndugu hutaki kuibandua,tuachie tufaidi wenyewe.
 
Back
Top Bottom