Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

Hata Njiwa hutafuta Panzi ili apate mpenzi
 
nilikata baada yako....ziro za form four ni janga kweli la kitaifa
Unalia nini we mbovu tu,ziro zimeingiaje hapa kimeku-touch eeeeh unataka mavumba wakati sura ya kujifungulia...
 
Ni vigumu kupata mke mtandaoni, hapa ni maslahi MBELE.

Mi naona hata wanaotanguliza maslahi wanafaa tuuu mbona mabaamedi wakiolewa wanatulia na kuwa mamii boooomba; hako ni kaugonjwa tu na kanapona upesi sana kutegemea na mazingira
 
tatizo na nyie mnatanguliza kugegedana kwanza ndo mana 2nawawahi na mijihela.we m2 hamjuani ila anataka mkikutana mlale
 
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.

Ungeniuliza kwanza kabla ya hatua yoyote, na bado.
 
Pole sana ndugu, jamani kama haupo serious kwa nn unaanza kum pm mtu na umeona kabisa kqenye status ameeleza anachotaka? guys tupunguzeni utani.
 
Pole,usivunjike moyo...endelea kutafuta tu utampata wako wa ubani iwe hapa au kwengineko...Wapo walio wakweli humu...labda hukubahatika tu kujuana nao 🙂
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.
 
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.

kumbe unachagua na kubagua eh, kama unataka mweupe kaoe mzungu tena hawaombagi pesa wa bure.
 
Back
Top Bottom