Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

People use the fake id here so u have to be very carefull
 
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo
 
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo


Sio kweli usitumie kigezo cha nyie kuomba hela ukasema na w/ume. Nasema hivyo kwasababu haiMake sense eti m/ume akutake na wala hamjawahi fahamiana akuombe hela labda kama ilikuwa ni shida nyingine. Kwa w/wake hizi ndo tabia zao.
 
wew ni mbilikimo eee ndio maana hutaki mrefu pole baba pesa mbele huna kanye huko na hata ukimpata huyo ambae hakuombi hela jua kuna wajanja watakua wanamuhonga na mgegedo juu
 
.......sasa elfu 50 na wewe ya kulalamika!! Hiyo si vocha tu, na labda alikuwa anakupima kama mtoaji au bahili.
 
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo

Si vyema kuja kunianika hapa!Hela nilikuomba chemba why unanisema hadharani lol
 
ha haaa,jamani wapo,ila tu ww hujakutana nae!
Halafu na nyie mmezidi,vigego kibao,ndo maana mnawapata hao

JF kuna wapo wana mwali wanaofaa kabisa kuwa wake;mmoja wao ni huyu Christine!

Christine ni PM please tuanzishe mchakato!Mm sina vigezo vyovyote!Easy man!
 
hata mie nimekutana na msichana anatabia ya kupiga mizinga ile mbaya.
Kila ukimpigia cm anakwambia yuko busy.
Akikuomba vocha ukimurecharge ataishia kukubeep tu.
So imenilazimu nisalimu amli
 
Yaani wote watatu wakaomba same amount 50000??? I doubt alikuwa ni mtu mmoja anakuzingua lakini ningekuwa mimi ningempa mmoja anayeelekea nikaona kama shida ni pesa au vp.
 
sasa kaka unauza utumbo halafu hutaki kunuka m@v!???

vumilia na bango lako watakuja tu
 
Mtu ataeleweka je kama unamwambia unampenda angali hujawahi hata kuiona sura yake?
 
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.

ndg hawa wanawake wa jf ni wakuwagegeda tu na kuwapotezea hakuna mwenye real love. Mwenzio nimegegeda wanne mpaka sasa ukijifanya unawapenda utaumia
 
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo


unaweza kujiona umeona mengi , ila kiukweli kumbe sijaona mengi.......
 
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.

ucwe bahili wengine wanakupima 2
 
Back
Top Bottom