Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo
ha haaa,jamani wapo,ila tu ww hujakutana nae!
Halafu na nyie mmezidi,vigego kibao,ndo maana mnawapata hao
.........!!
kuna mmoja matata kweli nili PM akanijibu niache maneno mengi anachotaka pesa tumalize mchezo..chezea mademu wa jf
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.
wanaume nao hawaeleweki. Kuna mwanaume wa huku jf nae kaniomba hela kabla hata hatujafahamiana. Nkamwambia siwezi kumpa kwani simfahamu. Msikazane kutusema tu ke mseme na hao wanaume wenzenu. Nimekutana na wawili wa stahili hiyo
una roho mbaya wewe khaaaa....sikutegemea mtu mzima kaka wewe unaweza kuandika hivi ..weka picha ya mpenzi wakoimesahau na hii
WENGI NI WABOVU WA SURA NA MAUMBILE...WALISHAKATA RINGI
Si vyema kuja kunianika hapa!Hela nilikuomba chemba why unanisema hadharani lol
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali kimaslahi zaidi kwani wote niliendelea kuwasiliana nao, ila baada ya muda kila mmoja akaanza mara samahani nina shida na elfu 50, kiukweli ni jambo gumu kutoa pesa kwa mtu ambae cmfahamu. Wote baada ya kuona pesa haitumwi wakaamua kuvunja mawasiliano! Kimsingi bado nipo na hitaji hilo na kwa yule anaeona yupo serious ktk kuanzisha familia naomba aniPM tafadhari ila ikiwa upo kimaslahi ucpoteze muda. Sifa za binti nimtakae asizidi miaka 29 pia awe mweupe na asiwe mnene wala mrefu sana, nashukuru na mungu awabariki.