Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Dellah mapenzi hayachagui huyu ni mume wa mtu.....kaacha mke au what....Kinachojalisha kwangu ni ananipenda kweli? wengine hawajaoa na tabia zao ni mbaya kuliko wale walioacha wake zao.... mbona husemi kama mkewe alimtenda au? Mi nashauri umjali mtu kwa utu wake hasa katika mapenzi ukimchunguza bata hutoweza kumla... huenda wakati yupo na mkewe hakujua nini maana ya kupenda na kupendwa kwako atabadilika na kuwa mwanaume anajali hisia za mwanamke
 
Ha ha ha ha ha uvumilivu huutaki kabisa wewe haya

Hebu nambie unavumilia nini??
No love, no peace, no.........
Unavumilia nini, mama ako huyo, dada ako huyo

Where is Love? Au kinyume cha upendo ni uvumilivu nn??
 
Dellah mapenzi hayachagui huyu ni mume wa mtu.....kaacha mke au what....Kinachojalisha kwangu ni ananipenda kweli? wengine hawajaoa na tabia zao ni mbaya kuliko wale walioacha wake zao.... mbona husemi kama mkewe alimtenda au? Mi nashauri umjali mtu kwa utu wake hasa katika mapenzi ukimchunguza bata hutoweza kumla... huenda wakati yupo na mkewe hakujua nini maana ya kupenda na kupendwa kwako atabadilika na kuwa mwanaume anajali hisia za mwanamke

Mama Big hapo kwenye red kuna siku yake leo ni specifically kwa kina bacha tu
 
NB yako ingekuwa: "Usikubali mwanaume amuache mkewe akuoe wewe." hapo ningekuelewa. Mwanaume wa hivyo ipo siku atakuacha wewe akaoe pengine.
Tukumbuke mwanaume kumuacha mkewe sometimes makosa hutokea kwa mke. Mengine mazito hayavumiliki.
 
haya haya jamani hebu nipeni summary ya kinachoendelea hapa....!nimetoka kwenye jukwaa la stress nimetolewa knock-out nimerud nyumbani!

kwa hiyo next post tunachangia nin?
 
Hebu nambie unavumilia nini??
No love, no peace, no.........
Unavumilia nini, mama ako huyo, dada ako huyo

Where is Love? Au kinyume cha upendo ni uvumilivu nn??

Ha ha ha ha Kama mapenzi ni amani, uvumilivu, upendo, uaminifu, utiii nk si liko katika hilo jamani
 
mmmh! dena, kama umeshuhudia kwa watu 25 nna shaka nawe!











CHAPA ILALE :fencing:
 
haya haya jamani hebu nipeni summary ya kinachoendelea hapa....!nimetoka kwenye jukwaa la stress nimetolewa knock-out nimerud nyumbani!

kwa hiyo next post tunachangia nin?
Wewe kwakuwa hujaacha mke, hii sredi haikuhusu.

Sisi wenye wake zetu bana, tunajua kulea na kutunza. Dena hana mashaka na sisi kabisa.
 
Labda tu nikupe kisa hiki kisha nikuulize swali ndugu mtoa mada,
Kuna jamaa alitoka kazini amechelewa kutokana na wingi wa kazi zake,na akaamua jioni hiyo ampe lifti sekretari wake kisha naye arejee nyumbani,kumbe mke wake sababu ya wivu alikuwa amechukua gari nyingine na kumfuata mumewe ili ajue nyendo zake,na akashuhudia mume wake akiingia kwenye gari na sekretari wake,kwa hasira na wivu yule mke akaingia kwenye gari akarudi nyumbani.Haukupita muda mrefu yule jamaa naye akaingia ndani akiwa amechoka,kajaribu kumsalimia mkewe kanyamaziwa,kaomba ugali akajibiwa kale hukohuko kwa hao unaowapa lifti.Jamaa hakutaka maneno wala majibizano kwa kuwa alikuwa haelewi mkewe anamaanisha nini.Akamuagiza msichana wa kazi amletee ugali,basi kabla hata msichana hajaufikisha ule ugali mke akauchukua na kumpiga nao(ugali) kwa hasira mumewe.Mume naye hasira zikamshika na hapohapo akaandika talaka.

SWALI:Sasa kwa kesi kama hii na nyingine zinazofanana bado utamhukumu mwanaume huyo kwa sheria zako kwamba kwa kuwa ameachana na mkewe basi asioe tena?
 
NB yako ingekuwa: "Usikubali mwanaume amuache mkewe akuoe wewe." hapo ningekuelewa. Mwanaume wa hivyo ipo siku atakuacha wewe akaoe pengine.
Tukumbuke mwanaume kumuacha mkewe sometimes makosa hutokea kwa mke. Mengine mazito hayavumiliki.

Husninyo sijui nikuzawadie nini kwa hili jibu lako mama!YOU HAVE NAILED IT!!!!!!!!!!!
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

Dena hii risech ina bayasi sana, labda hapa utuambie kwa nini waliachana? kosa lilikua kwa nani? ni upande gan ulichangia kutopatikana kwa suluhu? hao ulowadadisi ni %ndogo sana ya ndoa zilizovunjika (labda kama kavarage yako ilikua mtaa wenutu) lakin if that z a case wat if watu wa mtaan kwenu wanashare lifestyle, risech yako inaonesha kua kila inapovunjika ndo ni mwanaume ndo chanzo, je ni kweli?

Na maswali mengine meengi ambayo mnaweza kuayendeleza.....
 
hao uliokutana nao Dena wamekupa mtazamo usio sahihi. na tatizo sasa wewe umetoa majumuisho ambayo siyo sahihi pia, hii nadhani ni kutokana na picha uliyopata. kuna wengi tu walioachika (wake kwa waume) ambao wanapenda tena na wanaishi vizuri na wenzi wao
 
Maelezo yako yanaonyesha umeachana na mumeo sasa unawasiwasi atadakwa na uliowaita wasichana wa JF, sasa nikuambie nikiwa kama MRS, uzembe uliofanya wa kuachana na mumeo lazima uujutie, mume bwana usimuache hata siku moja we mlie kobisi tu lazima siku atakubembeleza tu,halafu nikuulize wewe unauchungu gani na hao wasichana? unajua wameshapitia kuachwa na wanaume ambao hawajaoa mara ngapi? Uhusiano hasa wa kimapenzi hautabiriki bwana! Basi wasiooa wangekuwa hawana shida ile first touch tu msichana angeolewa. Pole fanya juhudi za kurudiana na mumeo, dua la kuku halimpati mwewe! Siku hizi mume tunamng'ang'ania mwenzio.
 
hao uliokutana nao Dena wamekupa mtazamo usio sahihi. na tatizo sasa wewe umetoa majumuisho ambayo siyo sahihi pia, hii nadhani ni kutokana na picha uliyopata. kuna wengi tu walioachika (wake kwa waume) ambao wanapenda tena na wanaishi vizuri na wenzi wao

FP hujambo mpenzi? Habari za Sengerema?
 
Maelezo yako yanaonyesha umeachana na mumeo sasa unawasiwasi atadakwa na uliowaita wasichana wa JF, sasa nikuambie nikiwa kama MRS, uzembe uliofanya wa kuachana na mumeo lazima uujutie, mume bwana usimuache hata siku moja we mlie kobisi tu lazima siku atakubembeleza tu,halafu nikuulize wewe unauchungu gani na hao wasichana? unajua wameshapitia kuachwa na wanaume ambao hawajaoa mara ngapi? Uhusiano hasa wa kimapenzi hautabiriki bwana! Basi wasiooa wangekuwa hawana shida ile first touch tu msichana angeolewa. Pole fanya juhudi za kurudiana na mumeo, dua la kuku halimpati mwewe! Siku hizi mume tunamng'ang'ania mwenzio.

Mie sijaachwa hata sitegemei kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom