Dellah mapenzi hayachagui huyu ni mume wa mtu.....kaacha mke au what....Kinachojalisha kwangu ni ananipenda kweli? wengine hawajaoa na tabia zao ni mbaya kuliko wale walioacha wake zao.... mbona husemi kama mkewe alimtenda au? Mi nashauri umjali mtu kwa utu wake hasa katika mapenzi ukimchunguza bata hutoweza kumla... huenda wakati yupo na mkewe hakujua nini maana ya kupenda na kupendwa kwako atabadilika na kuwa mwanaume anajali hisia za mwanamke