KK pole sana lakini nimesema niliyoshuhudia sio research ya nchi nzima tafadhali nielewe
hahahah lol hata mi ni me ku miss sana mama wa bsara wangu....
si unajua tena misukumano ya kazi na maandilizi ya x-mass..
hahaha lol
Nway naona Derimto anataka kuleta za kuleta na wewe unamkubalia tu..
mmmmmhhh trip hii huwezi tunaakesha kukulinda.. hahah lol
naona Kimey kaanza x-mass mapema ngoja nika mwambie holiday imeisha arudi..
kuna mtu anataka kukuchakachulia bibie lol hahahahha :angel::angel:
Afu nimekumiss we mtoto,,umefichwa wapi???acha unoko Kimey hana mpinzani
kimey yuko kny semina na zd anajiandaa kubatizwa xmass,,,,wat a joy????
Afro afro tuendelee kuchakachua dena kalala,,,hahaha:whoo::whoo::whoo:
Derimtoooo utachakachuliwa sasa hivi hujajua bado shauri yako ngoja Kimey aje
Dena hiyo ni fimbo ya mbali hauiwi nyoka!
Let us Back 2topic
Kwa uzoefu wangu ni kuwa mwanaume mara nyingi ndiyo wanawafuata wanawake na hivyo kufanya kuwa mahusiano kushikiliwa na mwanaume na pale inapotokea shida mwanaume ndiyo anakuwa wa kwanza kufanya maamuzi na hatoi nafasi kwa mwanamke na hivyo mwanamke kuwa mtekelezaji tu wa maamuzi ya mwanaume kitu ambacho siyo sawa.
kwa maana hiyo basi wanawake wantakiwa kuwa waangalifu sana na maamumuzi na machaguo wanayoyafanya kwenye maisha ya kila siku ili kuepuka kuumizwa au kupata shida na maamuzi ya wanaume yasiwaathiri kimaisha.
Afu nimekumiss we mtoto,,umefichwa wapi???acha unoko Kimey hana mpinzani