Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Hapo mpwa hilo chimbo ukija siku moja na uhakika kikosi chote cha JJ kitahamia pale uzuri kuna mjengo hapo hapo.

Fidel nahisi ukitoka uko uvunguni tutaelewana zaidi,,ndo nini tena??hahaha
 
habari yake fidel80, muzee wa updates za mijengo, punguzo la bei na pia misiba ya wana-mmsc

natumaini huo mjengo ndio ule wenye punguzo la bei la vyumba krismasi hii
 
Habari yake Fidel80, muzee wa updates za mijengo, punguzo la bei na pia misiba ya wana-MMSC

Mpwa siku moja karibuni sana pale Tip top chimbo jipyaaa muulize Teamo alipiga supu ya kuku wa kienyeji tetea mpaka akanyoosha mikono
 
Fidel nahisi ukitoka uko uvunguni tutaelewana zaidi,,ndo nini tena??hahaha

Mbado nipo kwenye mchakato mama usijali lazima nikutendee haki mm nawewe tena ni kama samaki na maji.
 
Mpwa siku moja karibuni sana pale Tip top chimbo jipyaaa muulize Teamo alipiga supu ya kuku wa kienyeji tetea mpaka akanyoosha mikono

Tip Top si ni karibu tu na shekilango ilipo Rombo green view.....siji kabisa maeneo ya karibu na hapo
 


Your research was not comprehensive and lack some important information in it for decisin making purpuse.

umesema mwanaume aliyeachana na mke wake lakini hukuweka wazi sababu za kuachana kwao au nani aliyemuacha mwenzake au nani chanzo, yawezekana mwanaume ndiye aliyemuacha mke lakini mke akawa ndiyo chanzo cha kutengana/kuachana labda alithibitisha mke wake ana uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwengine.

lets analyse reosons firts and make decisions.
 
Kuna mtu kanionea Wiselady? Mkimwona mwambieni babu anamtafuta:teeth::teeth::hungry::hungry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…