Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

copy to:

Kimey:.... Aache mchezo na babu
the finest: Aondoke kwenye jamvi la babu
kaizer:..kwa taarifa
rr:..kwa kumbukumbu
teamo: Kwa baraka zake.

nipo hapa kwa maslahi yako nikiondoka utanikumbuka sana
 
Copy to:

Kimey:.... Aache mchezo na babu
The Finest: Aondoke kwenye jamvi la babu
Kaizer:..Kwa taarifa
RR:..Kwa kumbukumbu
Teamo: Kwa baraka zake.

NOTED.
Babu kuna mtu anaitwa Obuntu
 
jamani samahani hivi sisi jf dar wing tuna mpango gani na hii holiday season

"Mpwa siku moja karibuni sana pale Tip top chimbo jipyaaa muulize Teamo alipiga supu ya kuku wa kienyeji tetea mpaka akanyoosha mikono"
 
Amefanyaje? Nimesahau mawani yangu...huyo anamfaa BAF..................soma katikati ya mistari hapo....

Fainest alikuwa ananikabidhi kwake nikakataa,,hivi ulimpa fainest hayo mamlaka????
 
jamani samahani hivi sisi jf dar wing tuna mpango gani na hii holiday season

Mzee wa lami............ Hakuna Dar Wing....Ni hedikota hapa.

Just a phone all or sometimes a beep....watu tunatua makao makuu kwa ajili ya kikao cha kawaida.

Cha dharura akibeep katibu mnyama kilo sita anaanza kuungua pale JJ. hebu beep au mwambie katibu abeep basi dah! Valeur inajaza kaunta tu pale JJ.
 
Back
Top Bottom