Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Hapo mpwa hilo chimbo ukija siku moja na uhakika kikosi chote cha JJ kitahamia pale uzuri kuna mjengo hapo hapo.

Fidel nahisi ukitoka uko uvunguni tutaelewana zaidi,,ndo nini tena??hahaha
 
habari yake fidel80, muzee wa updates za mijengo, punguzo la bei na pia misiba ya wana-mmsc

natumaini huo mjengo ndio ule wenye punguzo la bei la vyumba krismasi hii
 
Habari yake Fidel80, muzee wa updates za mijengo, punguzo la bei na pia misiba ya wana-MMSC

Mpwa siku moja karibuni sana pale Tip top chimbo jipyaaa muulize Teamo alipiga supu ya kuku wa kienyeji tetea mpaka akanyoosha mikono
 
Fidel nahisi ukitoka uko uvunguni tutaelewana zaidi,,ndo nini tena??hahaha

Mbado nipo kwenye mchakato mama usijali lazima nikutendee haki mm nawewe tena ni kama samaki na maji.
 
Mpwa siku moja karibuni sana pale Tip top chimbo jipyaaa muulize Teamo alipiga supu ya kuku wa kienyeji tetea mpaka akanyoosha mikono

Tip Top si ni karibu tu na shekilango ilipo Rombo green view.....siji kabisa maeneo ya karibu na hapo
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11


Your research was not comprehensive and lack some important information in it for decisin making purpuse.

umesema mwanaume aliyeachana na mke wake lakini hukuweka wazi sababu za kuachana kwao au nani aliyemuacha mwenzake au nani chanzo, yawezekana mwanaume ndiye aliyemuacha mke lakini mke akawa ndiyo chanzo cha kutengana/kuachana labda alithibitisha mke wake ana uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwengine.

lets analyse reosons firts and make decisions.
 
Kuna mtu kanionea Wiselady? Mkimwona mwambieni babu anamtafuta:teeth::teeth::hungry::hungry:
 
Back
Top Bottom