haya haya mtu mzima.....!Forget about batling. Kalee mwanao kwanza. Nadhani pia kesi uliyonunua ushahidi umeteketea so no case. Mpe salamu dena. mwambie atanikuta kule kwa wakubwa. nawe ukitaka utanikuta huko pia
hivi kumbe ..
Mmmhhh mi roho bado inaniuma sana
maana tulikuwa poster kama 4873..
Kidogo tu tufike kwenye target yetu lol
jamani kuna mtu amenionea FAB wangu!....?
halafu kama vile walijua kabla hatujafikisha poster ya 5000 wakahihamisha fasta lol!!! Hawa mods hawa
WL namuona lakini mbona asalimiii au kaacha computer on kapanda mlimani??
wl namuona lakini mbona asalimiii au kaacha computer on kapanda mlimani??
bupuma..
hahahah lol:kiss:
HUYU DENA TATIZO LAKE NI SITAKI NATAKA ZAKE INAWEZAKANA LABDA The courses of true love never did run smooth.
hahahah lol umeipenda lol??
Inawezekana
haya bwana. Ila du siku mbili post mia saba tayari ha ha h kazi kweli chat room imekuja mapemaaaaaaaaaaaaa
"BUPUMA" hili jina lina mfaa sana Dena
Haya bwana. Ila du siku mbili post mia saba tayari ha ha h kazi kweli chat room imekuja mapemaaaaaaaaaaaaa