Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Forget about batling. Kalee mwanao kwanza. Nadhani pia kesi uliyonunua ushahidi umeteketea so no case. Mpe salamu dena. mwambie atanikuta kule kwa wakubwa. nawe ukitaka utanikuta huko pia
haya haya mtu mzima.....!
MUZEE YA G-SPOT

ila pale ulitisha muzee!
i appreciate a lots,ngoja nikamlee mjombaako basi

I AM OUT
 
hivi kumbe ..
Mmmhhh mi roho bado inaniuma sana
maana tulikuwa poster kama 4873..
Kidogo tu tufike kwenye target yetu lol

halafu kama vile walijua kabla hatujafikisha poster ya 5000 wakahihamisha fasta lol!!! Hawa mods hawa
 
Haya bwana. Ila du siku mbili post mia saba tayari ha ha h kazi kweli chat room imekuja mapemaaaaaaaaaaaaa

haya ndo maneno ambayo nataka kusikia kutoka kwa mama mwenye nyumba lol:whoo::whoo:
 
Back
Top Bottom