Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Mawazo mingi Dena twende taratiibu,,nahitaji sana faraja yako hasa kipindi hiki kigumu

Pole Kimey yupo tu usijali dear yuko busy na wananchi bwana acha mawazo christamas isije haribika dear
 
Usinikumbushe kimey wangu maana nnavyommis,,,,halafu ukome na udaku wako muone vile
Missing u too swirry! Wapiga kura bado wana maswali mengi! Achana na huyo the Finest hana jipya!
 
Missing u too swirry! Wapiga kura bado wana maswali mengi! Achana na huyo the Finest hana jipya!

Salimia kwanza wewe aahhh mambo gani hayo nyanya na vitunguu vipi ushatuma dar au bado???
 
Missing u too swirry! Wapiga kura bado wana maswali mengi! Achana na huyo the Finest hana jipya!


Got u honey,,as far as i know u,,hope u wanna make it.Take care:hug::kiss:
 
Fidel na wiselday mko kwenye chat room au kwenye dating room ni swali tu jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…