Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

typical TGNP associate
 
Lakini Lizzy wewe leo mbona umenikalia kooni namna hiyo dear??? Mpaka nikataka kuchomoka??? Nafurahi umenielewa

Furahi bwana...hutaki mwanafunzi anaeuliza maswali?Ndo mzuri coz somo likishaingia halitoki tena!!Asante na pole na kazi yakunipa somo!hehehe!
 
Unajua unavyoniharibia mipango yangu hapa jamvini? Utakava nafasi zao wewe?

Nishaharibu si niwewe lakini ndo umenipa hii niirushe sasa tena unanikana babu vipi kichina china nini??
 
yap ila nikiila iishe sio zile zinazongezeka ujazo.

usihofu Husninyo wewe tena?sema kingine!lakini kiafya, zile zinazoongezeka ujazo ndo nzuri, protein ya kumwaga inapatikana!!!
 
Furahi bwana...hutaki mwanafunzi anaeuliza maswali?Ndo mzuri coz somo likishaingia halitoki tena!!Asante na pole na kazi yakunipa somo!hehehe!

Haya mwanafunzi somo limeingia. Usijali
 
hofu kwako darling.....................
najitahidi kum-hold huyu ndugu, maana Dena anatangaza tusiolewe tena tukiachika...........

FP siamini kama haya maneno yanatoka kwako unataka kuachika??? Hebu mvumilie huyo uliyenaye
 
Dena...hii ilinipita mwaya lakini somo nimelipata. bora nilimtosa yule jamaa aliyetaka kuanzisha marital affairs na mie maana naye alishaacha mke huko nyuma.....
 
usihofu Husninyo wewe tena?sema kingine!lakini kiafya, zile zinazoongezeka ujazo ndo nzuri, protein ya kumwaga inapatikana!!!

Usianze uchakachuaji hapa tafadhali eeehhh
 
Dena...hii ilinipita mwaya lakini somo nimelipata. bora nilimtosa yule jamaa aliyetaka kuanzisha marital affairs na mie maana naye alishaacha mke huko nyuma.....

Ha ha ha JS ulikuwa wapi sasa na wewe. Yaani huyo mpotezee kabisa tena usigeuke nyuma maana unaweza muonea huruma
 
hofu kwako darling.....................
najitahidi kum-hold huyu ndugu, maana Dena anatangaza tusiolewe tena tukiachika...........
Mi swadakta, achana na Dena bana, mi sikuachi ng'oo. Na hata nikiRIP kwa sifa zako utaolewa tena na tena...........
 
Ha ha ha JS ulikuwa wapi sasa na wewe. Yaani huyo mpotezee kabisa tena usigeuke nyuma maana unaweza muonea huruma

Mwenzangu majukumu si unajua tena.....n kweli anatia huruma...halafu wanajuaga kudeka hao asikwambie mtu ili mradi tu afanikishe lengo lake
 
FP siamini kama haya maneno yanatoka kwako unataka kuachika??? Hebu mvumilie huyo uliyenaye

Dena, sijasema nataka kuachika, sithubutu hata kutamani kuachika. nimesema nilikuwa nam-hold mzee asije akaniacha
 
Back
Top Bottom