Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sayu aidomaa??? Hatujifurashi bwana ndoa ndoana ndo hiyo inatakiwa kuvumiliwa na sio kuachana
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11
Wameniharibu tangu nianze kazi huko its very true
Simu yangu ya kichina, jibu kwa PM.Nimekujibu chukua miwani usome.
Je, na upande wa pili ni sahihi? Yaani wale wake wa ndoa walioachwa wasiolewe tena? Hivi unaongelea ndoa gani? Kwani kuna dini nyingine wanaita vyuo kuolewa mara nyingi.
Kwa hiyo unatupa experience yako ya kutembea na wanaume walioacha wake zao na baada ya muda mfupi wakakumwaga na wewe. Maanake niliona thread yako moja ikitaka infidelity na kutoa qualities za wanaume ikiwemo kama sikosei ya mume wa mtu, sasa huoni kama wenye matatizo ni wanawake?
Nahisi unataka kupunguza tu competition!
usihofu Husninyo wewe tena?sema kingine!lakini kiafya, zile zinazoongezeka ujazo ndo nzuri, protein ya kumwaga inapatikana!!!
Sijasema research ni kwamba niliyowashuhudia kwa macho yangu. Hao wanaoolewa waulize kinachowapata huko ndani
Na ananishikilia kikweli kweli...nlishamuomba na limbwata aninyweshe kabisa. Likiisha naenda kununua mwenyewe nampa aniwekee.Ha ha ha asije kukuacha aahhh usimdhanie vibaya bwana. Hakuachi huyo hajawahi kuacha mke hata siku moja
Sijasema research ni kwamba niliyowashuhudia kwa macho yangu. Hao wanaoolewa waulize kinachowapata huko ndani
Ha ha ha asije kukuacha aahhh usimdhanie vibaya bwana. Hakuachi huyo hajawahi kuacha mke hata siku moja
Aisee kuna chupa yako ya BLACK LABEL hapa well said.Usiwadanganye wenzio wewe. Wewe hujawahi kutemwa/kumtema BF wako? lazima kuna sababu ilipelekea hilo kufanyika.
zina kauchungu fulani hivi ndio maana sizipendagi.
Sitarudia na ndio conclusion yangu hiyo. Kama unaona thread haifai ipotezee si lazima uchangie
Aisee ulikuwa umepotelea wapi mpenzi?Unamjuaaaaaaaaa niniiiiiiiiiiiiii? umepatia sana rafiki