Wasichana wa kazi wanatutesaje

Wasichana wa kazi wanatutesaje

tafuta msaidizi ambae angalau ana mtoto mmoja .huyo atakaa na ataheshimu kazi maana tayari ana majukumu.hawa wengine ni pasua kichwa.wewe unatoka haipiti dk 30 nae analeta msela humo nyumbani
 
we mmama nichukue mimi sina kazi pia nina uzoefu wa iyo kazi yako lakini sharti langu sitaki mwanaume yoyote atakayekuja kulala ndani
 
Mara nyingine nyie akina mama wenye nyumba hamuishi nao kwa wema hawa mabint...

Mnawalundikia mikazi mpaka ambazo ni jukumu lenu(kufua vyupi vyenu na waume zenu)

Mnatafuta dada wa kazi kwa sababu ya uvivu sio kusaidiwa kazi

Na yeye ni binadamu mfanyie ukarimu muda mwingine msaidie anajenga uupendo na wewe...kuna umbea mwingine anaweza kukushirikisha..

Muamini, Atakuamini atajiamini sana endapo ukimtendea wema uadilifu na ukarimu atakuheshimu...sio alie yeye jikoni nyie mezani kuleni wote...usiwe mtu wa kumtilia tilia shaka tu...HAKUNA MTU ANAYEPENDA KUTOAMINIKA...HATA WEWE HUPENDI...

Mnawakaripia karipia sana...ondoeni hiyo akili chafu mliyonayo vichwani mwenu yaani kidogo mnawatolea kauli kali kama watoto zenu...

Msimkaripie mbele za watoto wenu, na ikiwezekana wakaripie watoto wako na wawajibishe mbele yake ili wamuheshimu...sio mnawatetea watoto wenu wakikosea kutwa kuwagombeza wao...

Sema nae vema na mwache afanye kazi kwa wastani...sio kwa sababu wamlipa ndio umlundukie kazi saa 24...huo ni utumwa na roho mbaya...

Acheni kutia HILA chakula wanachopika...MSIKISIMANGE CHAKULA CHAO...kama acha usile alafu sema nae kwa wema...

Usiisimange kazi aliyoifanya, sio kakosea kidogo tu UNAMSIMANGA, hujaridhika fanya wewe mwenyewe...KWANZA NDIO JUKUMU LAKO LA MSINGI...

Ukiwaletea watoto wako zawadi mletee na yeye...

Mshirikishe katika ibada zako kama mpo dini moja, ikiwa yupo tofauti MPE MUDA WA KUABUDU DINI YAKE...USIMNYIME FURSA HIYO...

ZINGATIA: huyu ni MSAIDIZI WA KAZI...

WATENDEENI WEMA, UKARIMU NA UADILIFU HAWA WATU...MTAONA MATUNDA YAKE...

ALLAH AWAONGOZE...
 
Pasua kichwa sio mchezo
Yaaani kanunuliwa simu na mume wa jirani
Kazi hazifanyiki anatuona wajinga wakati tumempokea na mfuko wa rambo
HAYA NDIYO MASIMANGO ULIYO NAYO KWAO NDIO MAANA WANAKUTESA...

ACHA WAKUTESE TU...

ACHA HII TABIA YA MASIMANGO...eti umempokea na mfuko wa rambo....

WEWE HUISHI NAO KWA WEMA NDIO MAANA...HIYO IMEDHIHIRIKA KWA KAULI HIYO ULIYOLOPOKA...

NA ALLAH ATAKULETEA MPAKA AMBAYE ATAKUKOMESHA AKUCHUKULIE MUME...

ALLAH AKUONGOZE BADILIKA...KUWA MCHAMUNGU...
 
Hamna njia rahsi ya kukaa na dada wa kazi na kudumu nae kama UPENDO ukitaka dada wa kazi adumu kwako mpende na mthamini kama unavyojithamini

kwanza tutambue kuwa huyo ni msaidizi wa kazi na sio mfanya kazi,maana yake ni wewe mama unapokua nyumbani huna kazi basi shirikiana na dada kufanya kazi pamoja

lakini pia tafuta kitu cha kumfunga huyo dada wa kazi,yani mfunge awe wako mpk utakapo amua wewe Aende au vinginevyo,Kuna vitu vingi unavyoweza kuvifanya kwa dada wa kazi ukam BLOCK



1.Mpeleke shule ya Ufundi Cherehani/Upishi

Mlipie ada tafuta shule ya bei nafuu kbsa awe anaenda kila j5 au kila jmosi anaenda hko anajifunza mapshi au ufundi kisha anarudi,unakua unampa ahadi akimaliza mafunzo vzr akiweza utamfungulia ofisi ya cherehani,huyo dada atakuaakifanya kazi kwa bdiii sana kwa sababu unampenda lkn pia unamuendeleza,mawazo ya kuku udhi atayaondoa na atakua makini kwa hali kubwa sana ili asikuudhi.

2.Mfungulie biashara Hapo Hapo home

najua hukosi friji mruhusu atengeneze ice cream,mnunulie mahitaji ya ice cream ambayo mahtaji hayazidi hata 10,000 muwekee tangazo hapo nnje kama atauza vi ice cream na barafu,hela itayopatkana Muachie iwe yake"USICHUKUE HATA SENT" tena siku moja moja unaweza ukamtania ukamwambia "dada naomba nikopeshe 500" hawezi kukosa atakupa then utakaa nayo baada ya siku mbili unamrudshia..

Hii tunafanya si kwasababu tunapesa za kuchezea ila tunafanya vitu vya kumfunga huyu dada wa kazi awe wetu milele na daima.

Unaweza mnunulia Gunia la mkaa ukamwambia awe anauza mkaa hapo nnje,muache auze mkaa wake atapanga mkaa wake nnje kisha atarudi ndani kufanya kazi zake,mtu aktaka mkaa atamuita ataenda,Atakua anapata hela za mshahara wake kuptia biashra zake kwakua ww boss upo na unaona biashara zinavyoenda na wewe ndio unaemnunulia vitu Unaweza kbsa kujua hizi biashara zake zinaenda au haziend,Kama umeona haziend ikifka mwsho wa mwezi mpe mshahara wake kama kawaida.

Usiruhusu awaze et biashara mbaya ntakosa hela,hapana hizi biashara n changa la macho kwa dada wetu wa kazi ili awe loyal kwetu Atutunzie watoto wetu,alinde nyumba yetu yenye thamani ya mamilioni,Atunze afya zetu zenye thamani isiyoweza kutamkika,huyu n zaidi ya dada wa kazi lazima tutumie kila mbinu ili kumfanya ajione Kapata BOSS bora.

Njia za kuishi na dada wa kazi zipo nyingi sana ila lazima ukubali kujitoa kwa ajili yake hyo haitoshi pia upendo usio wa kinafki umuonyeshe dada,nakuambia huyu mdada wa kazi siku akikosea ukamtshia kumfukuza Atakulilia mpk utashangaa,na ukimsamehe hatokaa arudie hilo kosa milele.
 
Unatafuta mwenye level gani ya elimu? Tafuta aliye maliza form four au veta
 
HAYA NDIYO MASIMANGO ULIYO NAYO KWAO NDIO MAANA WANAKUTESA...

ACHA WAKUTESE TU...

ACHA HII TABIA YA MASIMANGO...eti umempokea na mfuko wa rambo....

WEWE HUISHI NAO KWA WEMA NDIO MAANA...HIYO IMEDHIHIRIKA KWA KAULI HIYO ULIYOLOPOKA...

NA ALLAH ATAKULETEA MPAKA AMBAYE ATAKUKOMESHA AKUCHUKULIE MUME...

ALLAH AKUONGOZE BADILIKA...KUWA MCHAMUNGU...
Kama uliona Nina msimanga sawa
 
Hamna njia rahsi ya kukaa na dada wa kazi na kudumu nae kama UPENDO ukitaka dada wa kazi adumu kwako mpende na mthamini kama unavyojithamini

kwanza tutambue kuwa huyo ni msaidizi wa kazi na sio mfanya kazi,maana yake ni wewe mama unapokua nyumbani huna kazi basi shirikiana na dada kufanya kazi pamoja

lakini pia tafuta kitu cha kumfunga huyo dada wa kazi,yani mfunge awe wako mpk utakapo amua wewe Aende au vinginevyo,Kuna vitu vingi unavyoweza kuvifanya kwa dada wa kazi ukam BLOCK



1.Mpeleke shule ya Ufundi Cherehani/Upishi

Mlipie ada tafuta shule ya bei nafuu kbsa awe anaenda kila j5 au kila jmosi anaenda hko anajifunza mapshi au ufundi kisha anarudi,unakua unampa ahadi akimaliza mafunzo vzr akiweza utamfungulia ofisi ya cherehani,huyo dada atakuaakifanya kazi kwa bdiii sana kwa sababu unampenda lkn pia unamuendeleza,mawazo ya kuku udhi atayaondoa na atakua makini kwa hali kubwa sana ili asikuudhi.

2.Mfungulie biashara Hapo Hapo home

najua hukosi friji mruhusu atengeneze ice cream,mnunulie mahitaji ya ice cream ambayo mahtaji hayazidi hata 10,000 muwekee tangazo hapo nnje kama atauza vi ice cream na barafu,hela itayopatkana Muachie iwe yake"USICHUKUE HATA SENT" tena siku moja moja unaweza ukamtania ukamwambia "dada naomba nikopeshe 500" hawezi kukosa atakupa then utakaa nayo baada ya siku mbili unamrudshia..

Hii tunafanya si kwasababu tunapesa za kuchezea ila tunafanya vitu vya kumfunga huyu dada wa kazi awe wetu milele na daima.

Unaweza mnunulia Gunia la mkaa ukamwambia awe anauza mkaa hapo nnje,muache auze mkaa wake atapanga mkaa wake nnje kisha atarudi ndani kufanya kazi zake,mtu aktaka mkaa atamuita ataenda,Atakua anapata hela za mshahara wake kuptia biashra zake kwakua ww boss upo na unaona biashara zinavyoenda na wewe ndio unaemnunulia vitu Unaweza kbsa kujua hizi biashara zake zinaenda au haziend,Kama umeona haziend ikifka mwsho wa mwezi mpe mshahara wake kama kawaida.

Usiruhusu awaze et biashara mbaya ntakosa hela,hapana hizi biashara n changa la macho kwa dada wetu wa kazi ili awe loyal kwetu Atutunzie watoto wetu,alinde nyumba yetu yenye thamani ya mamilioni,Atunze afya zetu zenye thamani isiyoweza kutamkika,huyu n zaidi ya dada wa kazi lazima tutumie kila mbinu ili kumfanya ajione Kapata BOSS bora.

Njia za kuishi na dada wa kazi zipo nyingi sana ila lazima ukubali kujitoa kwa ajili yake hyo haitoshi pia upendo usio wa kinafki umuonyeshe dada,nakuambia huyu mdada wa kazi siku akikosea ukamtshia kumfukuza Atakulilia mpk utashangaa,na ukimsamehe hatokaa arudie hilo kosa milele.
Naona umri wao Bado wanakuwa na mambo mengi hata kusoma hawataki
 
Kama uliona Nina msimanga sawa
Wewe ukisikia unasemwa hivyo UTAJISIKIAJE?

UNASIMANGWA?

UNAPONGEZWA?

UNABEMBELEZWA?

Kubali kosa, jirekebishe alafu BADILIKA...

Unasema eti "kama unaona namsimanga sawa"

Haya labda mimi naona hivyo...tuulize wajumbe wengine wanayaonaje maneno yako....?
 
Naona umri wao Bado wanakuwa na mambo mengi hata kusoma hawataki
usichukue hivyo vitoto acha vilelewe huko kwanza

unachukuaje katoto yani uje uanze kukalea kenyewe

halafu ndio akutunzie nyumba na mtoto,achana na hzo age.
 
Back
Top Bottom