hebu rudia kwanza mkuuIf you underrate her, then sh will never feel safe hata mbele ya dada zako
Sijui kama umenielewahebu rudia kwanza mkuu
imebidi tuu nikuelewe maana hamna namna, stay blessed.Sijui kama umenielewa
Asante kwa kuelewaimebidi tuu nikuelewe maana hamna namna, stay blessed.
Siyo kweli, mwanamke kuolewa haimaanishi ni yeye tuu, kuna sababu nyingi sana zinatusababisha wanaume kuoa, wengine mapenzi, utulivu, watoto, walinzi, wasaidizi(amini kuna mtu anaoa ili afuliwe, apikiwe, asafishiwe nyumba n.k)Mfanye mkeo ajiamini kwako hata kama anakutana na mwanamke wa namna gani, inaonekana there is a way mkeo hajiamini kabisa na hii uneisababisha wewe
Kama umemuoa that means you chose her over everyone else, na that means she is the best kuliko yeyote uliyewahi kumwona, maintain hiyo hali kwake kwamba yeye ni best katika wote na hutamwona hata siku moja akiwa na wivu wa hovyo hata kwa madada wa kazi
If you underrate her, then sh will never feel safe hata mbele ya dada zako
Duuuh , hii naisikia leo jamani, kwani kupika na kufua si uajiri housegirl tu, kwa nini uingie kwenye such huge commitment kwa ajili tu ya kupikiwa na kufuliwaSiyo kweli, mwanamke kuolewa haimaanishi ni yeye tuu, kuna sababu nyingi sana zinatusababisha wanaume kuoa, wengine mapenzi, utulivu, watoto, walinzi, wasaidizi(amini kuna mtu anaoa ili afuliwe, apikiwe, asafishiwe nyumba n.k)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wife alipiga mahesabu akaona hapaa amekwishaaa...nakumbuka wife alisema anataka HG nikamtafutia, yule bint alifika home nikiwa sipo na wife akamtimua the same day kabla sijarudi.... nikasema wacha nitafute hata picha ya huyo bint nimuone maana nilitafutiwa, baada ya kumcheki kwenye picha nikaconclude kua wife alikua na haki kabisa kumtimua maana lile lilikua balaa.
Jaribu kufanya utafiti..Duuuh , hii naisikia leo jamani, kwani kupika na kufua si uajiri housegirl tu, kwa nini uingie kwenye such huge commitment kwa ajili tu ya kupikiwa na kufuliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1787]Siku hizi karibia wote ni pasua na usipokaa chonjo wanafanya mapinduzi kama yale ya zenjiber sio haya ya kilimo
watoto amekuja nao?Nimempata mmoja recently toka mafinga huko...
Ana watoto mapacha.
Naona anajielewa ila simu yake sasa. Waume zake nafikiri washashikwa nyege huko..ni full busy.
Yani niko standby kwa lolote anytime.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wife hatoi game sio[emoji2][emoji2]Mshana hao viumbe acha ni watam balaaa. Nishadonokea kwa mmoja nusra nichonge mzinga. Maana unapomhitaji yupo available kwa wakati unaotaka wewe. Sio hawa tunaowaoa visingizio milioni elfumoja
Joyce Kiria ni dalali wa housegirls?Yes laki..na ukiona haeleweki unareport kwa boss wao unarudishiwa pesa yako
wanawake huwa wana roho mbaya baina yao.mimi housegirl wangu atakula bata hata watu hawatojua kama ni housegirlMara nyingine nyie akina mama wenye nyumba hamuishi nao kwa wema hawa mabint...
Mnawalundikia mikazi mpaka ambazo ni jukumu lenu(kufua vyupi vyenu na waume zenu)
Mnatafuta dada wa kazi kwa sababu ya uvivu sio kusaidiwa kazi
Na yeye ni binadamu mfanyie ukarimu muda mwingine msaidie anajenga uupendo na wewe...kuna umbea mwingine anaweza kukushirikisha..
Muamini, Atakuamini atajiamini sana endapo ukimtendea wema uadilifu na ukarimu atakuheshimu...sio alie yeye jikoni nyie mezani kuleni wote...usiwe mtu wa kumtilia tilia shaka tu...HAKUNA MTU ANAYEPENDA KUTOAMINIKA...HATA WEWE HUPENDI...
Mnawakaripia karipia sana...ondoeni hiyo akili chafu mliyonayo vichwani mwenu yaani kidogo mnawatolea kauli kali kama watoto zenu...
Msimkaripie mbele za watoto wenu, na ikiwezekana wakaripie watoto wako na wawajibishe mbele yake ili wamuheshimu...sio mnawatetea watoto wenu wakikosea kutwa kuwagombeza wao...
Sema nae vema na mwache afanye kazi kwa wastani...sio kwa sababu wamlipa ndio umlundukie kazi saa 24...huo ni utumwa na roho mbaya...
Acheni kutia HILA chakula wanachopika...MSIKISIMANGE CHAKULA CHAO...kama acha usile alafu sema nae kwa wema...
Usiisimange kazi aliyoifanya, sio kakosea kidogo tu UNAMSIMANGA, hujaridhika fanya wewe mwenyewe...KWANZA NDIO JUKUMU LAKO LA MSINGI...
Ukiwaletea watoto wako zawadi mletee na yeye...
Mshirikishe katika ibada zako kama mpo dini moja, ikiwa yupo tofauti MPE MUDA WA KUABUDU DINI YAKE...USIMNYIME FURSA HIYO...
ZINGATIA: huyu ni MSAIDIZI WA KAZI...
WATENDEENI WEMA, UKARIMU NA UADILIFU HAWA WATU...MTAONA MATUNDA YAKE...
ALLAH AWAONGOZE...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]housegirls siku hizi ni moto
baada ya wewe uwapige interview wao wanakupiga wewe
mara nyumba ina watoto wangapi watu wanakaa mda gani nyumbani nyumba ina ukubwa gani duh
aiseeeIkishindikana tafuta mmama/bibi mtu mzima aliyetelekezwa na watoto wake,umfanye kuwa ni mama ili akulelee watoto wako
ohooo!!!!Wanachukuaga vitoto ili wavipelekeshe wanavyotaka...
Wakichukua wanaojitambua kwaa manyanyaso yao watagombana tu...
Hakuna mtu mzima anayependa kunyanyaswa...
Nooo...! 😂😂watoto amekuja nao?
vipi una uzoefu katika hilo?Hilo ni tatizo la hao single mother. Wakishatulia yeye na mwanae wakapata nguvu anawasiliana na waliomtelekeza anatoa udhuru. Hatarudi tena. Yaani unatumika kumlea yeye na mtoto akikua kidogo sahau ataondoka tu.
vipi mumeo hajawahi mtolea macho?Mimi nina mmama mtu mzima age kama 38 alikua anafanya kazi Oman za kulea watoto, mwaka wa tano sasa bado nadunda nae, sijawahi kumpangia kazi, huwa anajipangia mwenyewe na anajua kujiongeza kweli, ameolewa ana watoto wawili, yeye anafika saa 12 asubuhi na anaondoka 11 jioni, nina msichana mdogo lakini sina wasiwasi kwa kuwa huyu mama mtu mzima yupo, sababu ya kuweka haka kasichana kadogo ni kwa emergency lets say siku huyu mama ameshindwa kufika, au labda nikisafiri atlist nyumbani pawe na mtu
Hawa watu wazima wanajitambua sana though mshahlara wao ni mkubwa kidogo kuanzia 200,000 kwenda juu ila hutajuta, wala hutakua na muda wa kupigizana nae kelele maana anajua anachofanya na wana upendo sana na watoto, hawana hasira za hovyoo na ni waaminifu sana
Pia amekua kama ndugu kwa sasa maana ni muda mrefu na yupo very committed tena anaipenda kazi balaa
Nnachofanya kila mwaka huwa nampa salary increament hata kama ni ya 20,000 na vibonus vya hapa na pale
Mfano siku za sikukuuu huwa nawanunulia watoto wake vizawadi kama nguo, viatu, na mara nyingi pia huwa tunawaalika kwetu kama kukiwa na event hata watoto wake wanakuja wanalala, lengo ni sitaki kumpoteza mpaka wanangu wafike umri wa kujitegemea maana watoto wanampenda sana na anakaa nao vizuri
Pia na yeye huwa simsahau vocha za hapa na pale, vitenge, mkoba, just kump motisha
Ki ukweli ni mtu mzuri sana na anajituma mpaka unafurahi.
Kama ukimpata mtu mzima ambae anajitambua kwa kweli utasahau hizo adha za vischana vya kijijini vinavyosumbua kila kukicha