Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma, inayosadikika kupewa elimu ya dini

Kuna chema cha dunia zaidi ya Uislam?

Au kwako wewe masomo ya kufundisha watoto namna ya kuvalisha wanaume kondom kuanzia shule ya msingi ndio ya maana?
Hiyo ilm ya kufundisha watoto kuvalisha kondom si ilikuja tukiwa na rais Mwislaa, na sasa ni mwislaa, kama wanaona mbaya wafute na kondoo za msaada wa watu wa marekani pia wazikatae.
 
Hawa wengi wao wanawatoa Kondoa .. Kuna maeneo kule watu hawajui chochote Cha Dunia zaidi ya Uislam.. hata wakiona mtu wa Dini nyinginewanadhangaa mno..
Kuna Mwalimu Mkristu alipangwa kufundisha huko alipata shida sana!
One a time nilimtembelea jamaa yangu shule ya msingi Unkuku huko Kondoa. Nilishangaa kuona siku ya Ijumaa masomo yanaishia saa5.

Ukifika muda huo watoto wanakwenda msikitini, shule inabaki na wanafunzi wasiofika hata 20 kati ya 400 hivi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Bahati mbaya viongozi wa Tanzania wanafurahi wananchi kuwa wajinga, elimu si kipaumbele chao kuliko uchawa, mpaka rais anaukubali!
Tupo mtukati huku viongozi wanaofaidi ujinga wa watanzania walio wengi upande wa pili umma wa wajinga wanaokingia kifua na kutetea viongozi wanao penda waliowengi wabaki gizani wakitumia Kila fursa kudanganya mfano 1) hatuna sbbu ya alshabab 2)nchi Jirani wanamatatizo afadhali sie 3) uchumi wetu imara kuliko wao, watanzania tunaweza na mengine mengi huku wakijua fika hizo ni kauli mbiu za kisiasa tu,[emoji24]
 
Nimeshangaa sana, hawa wanamsubiri Yesu, wengine wanafundishwa Siasa kali, yani ukishaskia "fulani wa siasa kali" ni hatari kwa taifa.
afadhali anayemsubiri yesu kwani hana madhara kwa wengine.

Huyu anayejifunza imani kali maanake anajiandaa kuwa muuaji.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Naomba kukuita Dokta.
Viongozi washajua mafukara watakacho.
Wanapita na wao wanajiita mafukatra, mfano makonda kwenye hotuba anasema yeye niu maskini hivyo ile nyumba aliyoipora kipindi akiwa nanii eti aliona asiende mahakamani kwakuwa hatoweza kushindana na GSM.
alijua hana chake na akapewa legal o[pinion, angeenda vipi mahakamani, mtu mwenye pharmacy kubwa hapo Morocco -airtel kwenye ghorofa lipya na maghorofa mwanza, Dar, kigamboni anajiita maskini, je mama anayeuza ndizi kwenye beseni toka asubuhi mpaka jioni na kuingiza elfu 5 kama faida yey tumuiteje?

anamwambia huyo mama akidhulumiwa asiende mahakamani kwakuwa mahakama ni za matajiri?
Kama mahakama ni za matajiri kwanini asikubali Katiba mpya ili ziwe za wote?
 
Baadae wanalaumu mfumo kristo.
 
Hapo shida ni kuwakatiza watoto masomo


ila vituo kama hivyo vipo ni sawa na shule za boarding tu
Kwahiyo walikuwa boarding school isiyo na jina?
Mtu mwenye akili zake atamtoaje binti yake aende kulelewa na watu ambao wala hawajulikani kisheria?

Mkuu wa majeshi alikuwa na hoja aliposema kuna dalili mambo kutoenda sawa
 

Una Haki kushangaa
Kifupi Hicho chuo wanatapeli waislamu wakishirikiana na matapeli wabobezi wa kiislamu ukitokea ujumbe mkubwa wa kukagua uwe wa wizara nk maprofesa matapeli huenda kujifanya wao ni wahadhiri hapo ndicho kilichokukuta hata iwe TCU time ya kuhakiki ubora wa vyuo vikuu ikienda kuhakiki kama Wana Maprofesa wanaonyesha mikataba ghafla kuwa tumeajiri maprofesa hawa wakiondoka tu basi business as usual ndio kilichokukuta
Matapeli sana hao waislamu wenzio waambie kabisa waache kutapeli waislamu Wenzao sio vizuri
 
Sawa ni Mahojiano, hebu thibitisha kuwa alichosema huyo Kitwana Selemani ni sahihi

Weka Uthibitisho hapa, na awe amefanya utafiti rasmi huko NECTA

LASIVYO ni Uzushi tu kama uzushi mwingine mnaoletaga Waislam humu na kulialia
 
Shotocan
 
Asante ... Visarakasi vya St Paul Makonda ni sarakasi na nusu. Fikiria tuwe na hali ambapo dhulma ni kawaida na watu washauriwe wasiende mahakamani kutakuwa na nchi hapo? Kwamba ukidhukumiwa na tajiri uamue utumie sime au?
 
Singida hii hali imeshamili sana na wazaz wao wanabariki hiko kitu , nlimpata mdada mmoja mzur kwel ila aliponiambia wapo msituni wanafundishwa madrasa nkaona hapa kuna ttzo tyr
Hata kama ni chuki imezidi,Madrasa msituni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…