Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

Infact there is no such thing as freedom.
 

Tausi
nashkuru kwa mchango wako mzuri..
but naomba urekebishe fonts ili isomeke vizuri....
 
subconciously
ukioa mwanamke akafanya aliyoyafanya mama ako
hutomwacha
utadhani ni kawaida wanawake kufanya hivyo

 
The boss hawa wasichana unaozungumzia labda wanataka kujikomboa kwa hali na mali lol! i mean by any means!
 
ndo tatizo la vijana tulio wengi....... ata pata vyeti tena vizuri sana lakini elimu aliyopata kamwe haiwezi kumsaidia kufuta ujinga,

ebu kuweni wazi ndugu zangu, nilini ulipata salary yako ukasema unatoa 30,000 unaenda kununua novel ya Sidney Sheldon kati ya novel zake18 ambayo hujaisoma?

nilini ulisema by any means lazimi nisome daily newspaper japo Mara mbili kwa wiki? au ulipopata kazi na magazeti ukayapa kisogo?

wangapi wetu nyumbani tuna dictionary kubwa zinazotumiwa na watu wenye elimu kama uliyonayo?

wengine wajajiuza ila walipata elimu zao kwa nguvu zao ila walipoambiwa una upper second, ndo vitabu vikafungwa. mtu wa style hii ana tofauti na unayemzungumzia.

Duniani tunapita, if you will not be care, ata maeneo ya mwenge, sinza, ubungo etc, in 70 years to come after your life, hakuna atakayejua kuwa kulikua na mtu kama wewe duniani,
 
Taib!

Sasa naanza kupata picha ya kwa nini watu wana hamu ya kukumwagia tindikali.

Siutanikingia mkono lakini? Au ninunulie hata mwamvuli maana nawindwa kama swala msituni. . . lolz
 
nakusamehe bura
kama tabia za mama yako mwenyewe huzipendi
ije kuwa mie

unajiumiza bure kwa kubeba haya
maisha ni rahisi mno
swit boy grow up
 

zamani form four wanasoma Daily news
siku hizi masters wanasoma udaku tu...lol
 


hapa kuna mantinki, yeyote anayejiuza ili apate elimu au pesa ya kujikimu wote wako katika hali ya kutafuta maisha!
 
Ni wale wasiokubaliana na dhana nzima ya morality na religion beliefs

Kwao kila kitu ni halali

wangekuwa hivyo kwa uwazi ingekuwa bora kuwaelewa
lakini hawako hivyo...
wanahubiri morality still...na unajua kuwa wamefika hapo kwa njia chafu..

ni sawa na wanasiasa kuhubiri vita dhidi ya ushirikina while wao ndo wateja nambari one...
 

Hapana. anatakiwa aende shule ili apate elimu na nguvu ya kuepuka kuishi kupitia ngono.
sasa kama hata hatua hiyo ya kwanza anatumia ngono si heri aache asijisumbue na aende moja kwa moja club akapige shughuli ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…