Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

karibu tukuelimishe mpaka uelewe
elewa point inayozungumzwa.....

hii haiwezi kuwa ni faida eti kwa kuwa it works for
some individual.....ni hasara kwa kila mtu hata huyo individual......
get it now?
What a bunch of c. . r. . .a. . .p. . .
I'm out!!
 
Nitaapili juu ya hii id yako mpya..old is gold bwana
Mimi ndio Amenichanganya kabisa, maana nina appointment nae na all booking is confirmed Matola & Lizzy Special Valentine day Banquet, sasa sijui hizi changes inakaaje hii!!
 
Last but not least, maadili... tumezowea kuyaona kila siku hadi tunasahau kua ni kosa. Imekua ni kawaida tu, ni njia katika njia zingine za kupata unacho kitafuta.

Dead on Mwali!

Most of those girls are products of their own environment. Blaming them squarely is to not see the forest for the trees.
 
The Boss,

Haya unayoyaona ni hitimisho la uovu katika jamii....Ni kweli hao wanaopata degree na vyeti vingine ni mzigo kwetu sote ila bado kuna mizigo mingine...Hata hao walimu wanaongonoka kama paka/panya nao ni mzigo mwingine...

Kama walimu wasingekubali ngono rahisi kutoka kwa hivyo vitoto...(siku hizi undergrad ni watoto wadogo sana), hakuna binti angejipeleka kwani kusingekuwa na wateja!!

Kuna vijana wa kiume pia ambao nao wana mbinu zao chafu sana za kuiba elimu...ni sawa tu na kutembeza ngono.

Tumekwisha...tumeshaboronga kila mahali na gharama ya kurudisha elimu mstari itakuwa kubwa mno!!

Babu DC!!
 

Hakuna ofc yoyote sasa inayoangalia ukubwa wa CV yako au PHD we are looking experience
 
Mimi ndio Amenichanganya kabisa, maana nina appointment nae na all booking is confirmed Matola & Lizzy Special Valentine day Banquet, sasa sijui hizi changes inakaaje hii!!

Ohhh she'll be back by then.
 
Dead on Mwali!

Most of those girls are products of their own environment. Blaming them squarely is to not see the forest for the trees.


actually nazungumzia zaidi jinsi ambavyo siku hizi
society inaona kuwa its not a big deal watu ku apply
'the end justify the means..'.......kuliko ku wa blame hao wasichana....
 
lol........others may have different opinion....
and the know crap when they see it....

Learn to agree to disagree. . .kueleweka haina maana kuungwa mkono, hilo hata asiekuelewa anaweza. Kueleweka ni pamoja na kuonyeshwa namna nyingine ya kufikiri/kufanya jambo.
 
Dead on Mwali!
Most of those girls are products of their own environment. Blaming them squarely is to not see the forest for the trees.
The Boss anatuonea wanachuo bure. Hajaona mazingira tunayo ishi. Nakubali mtu akisha toa rushwa ya ngono kwa kupata digri kakosea ila hawezi kuacha just because The Boss doesn't like it. Ataacha pale yale mazingira yatakapo badilishwa.
So kama The Boss kaamua kuchunguza hili tatizo kwa undani afungue pia ukurasa wa waalimu kuwatamani wanafunzi, fairness ya marking system, scarcity of jobs and necessity to compete sometimes by all means, recruitment system (vyeti versus ujuzi), maadili etc. vyanzo ni vingi kuliko tunavyo fikiria. Inagwa each of them has her own reason, kuna general ones ambazo zinatakiwa kufanyiwa kazi.
 
actually nazungumzia zaidi jinsi ambavyo siku hizi
society inaona kuwa its not a big deal watu ku apply
'the end justify the means..'.......kuliko ku wa blame hao wasichana....

Ndicho hicho hicho na mimi nilichokisema kuwa hata society ya sasa ni product ya environment hiyo hiyo inayoona mambo hayo kuwa ni ya kawaida. Sasa hapo utalaumu products au environment?

Kwa ujumla maadili kwenye jamii yamemomonyoka sana. Angalia jinsi mabaa yalivyozagaa kwenye residential areas....angalia jinsi ma guest house yalivyozagaa kwenye kila pembe huku kila mtu akijua kazi yake ni nini.

Vitoto vya shule ya msingi vinajua kinachoendelea humo kwenye magesti (mimi na nayaita madanguro bubu). Sasa watoto wanaokua kwenye jamii iliyojaa uovu kama huo unategemea wakipata fursa ya short cut ya maisha waiachie iende hivi hivi tu?
 
Learn to agree to disagree. . .kueleweka haina maana kuungwa mkono, hilo hata asiekuelewa anaweza. Kueleweka ni pamoja na kuonyeshwa namna nyingine ya kufikiri/kufanya jambo.

wewe ndo unashindwa to learn to agree to disagree..
na umeingiza maneno yasiyo husu kabisa mara crap...mara hivi..

mimi nimestick na nilichozungumza......
nimesema hakuna faida kwa mtu kusoma kwa kujiuza...hiko unachokiona wewe ni faida kwangu sio faida...
wewe hutaki unataka nikubaliane na wewe kuna faida kwa mtu kujiuza as long as ni muhimu kwake...
na ukipingwa unaita crap....really??????
 

nakuelewa Mwali but utaona nazungumzia zaidi mtazamo wa jamii
nimetoa mfano wa mama wa kihindi aliekubali kuwa its okay police kumua mwanae ili mradi ni mwizi
je wewe huoni its okay kufelishwa na kurudi nyumbani kuliko kutembea na mwalimu?
huoni its okay kushindwa kuendelea na shule kwa kushindwa kulipa ada kuliko kujiuza?
 
TB, wanasemaga don't keep skeletons in ur closet coz they will haunt you till they find you. Sasa ukitoa ngono ufaulu mtihani (sadly hata std 7 siku hizi...anawekeza mzazi mtoto anamalizia chuo kwa kyupi), interview za kazi inabidi ufanye hivyo, performance review nayo na kupanda vyeo. Sasa ukitaka kuhama kazi ili upate rapid growth cycle inaanza. Hamna kupona aisee, kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…