BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
shetani one1....
unawatoa wapi hao wa invoice? Sasa kama unaingia kwa gia za kupewa huduma na siyo love unategemea nini?
Tofautisha "kunywa kwenye tafrija" na "kunywa baa"!
nini?
basi basi.... Nshaogopa ulivyoniuliza lol... Mi hata sina amani ya kuchangia thread yako...
uliingia kwa gia gani?kama ulianza kwa u knw wora amu seying,wats up wats up yoooo then inahuuuuuuuuu!
ololololo..tuma cheki feki.
teheteheee
jamaa yangu alitongoza vile vi vuvuzela vya mabibo hostel
kesho yake aliletewa list ya vipodozi total yake chini laki saba....kesho yake jamaa kabadili namba!
Mademu wote wanapiga mizinga kulingana na level zao. Demu low class atapiga invoice kulingana na level yake likewise high class
teheteheee
jamaa yangu alitongoza vile vi vuvuzela vya mabibo hostel
kesho yake aliletewa list ya vipodozi total yake chini laki saba....kesho yake jamaa kabadili namba!
nimeipenda iyoo..
teheteheee
jamaa yangu alitongoza vile vi vuvuzela vya mabibo hostel
kesho yake aliletewa list ya vipodozi total yake chini laki saba....kesho yake jamaa kabadili namba!