wasichana wanabore sana

wasichana wanabore sana

Huwa wanaanza na quotation au pro-forma invoice huyo anayeanza direct na invoice unamtoa mitaa gani?:frog:
 
anajua ukishakula unasepa... so anachukua chake mapema!!:love:
 
FP,

Unapotea sana wewe bana! kha! Anywayz hujambo lakini?

Unamaanisha "enzi" zenu kulikuwa hakuna kulipa "dowry"?

Rafiki, majukumu ndo yalinikamata. sijambo lakini, hofu kwako.
Enzi zetu hakukuwa na hayo ma-Invoice yenu
 
Back
Top Bottom