wasichana wanabore sana

nina vidole vidogo sana maty,alafu nina watoto wawili,kweli vidole vitatu visipite????haya ntaanza mazoezi leo leo......kanywe supu mama...lol

mh,nimegundua kitu. Kumbe na yangu nzuri sana ndo maana jamaa ananipenda sana. Maty hebu nipe test ingine kama unajua plz.
 
kweli bana iliniuma sana roho yaani nimejiandaa mwenyewe alafu nakuja kuingia hasara dah.

Alafu kwa nini mkipewa appointment huwa mnakuja na wapambe?

pole sana. Hiyo ya kuja na wapambe ni tabia tu ya mtu mwingine anataka rafiki zake wamuone jamaa yake alivyo na wengine wanakuja kukukamua kiaina.
 
Mi nimekupenda

Fidel80,nimejitahidi kukuonyesha jinsi navyokupenda muda mrefu hukuona, leo umeaniambia:smile-big:.....moyo umesuuzika kabisa!!!! kweli kila kitu kina siku yake.....LOL:car:
 
pole sana. Hiyo ya kuja na wapambe ni tabia tu ya mtu mwingine anataka rafiki zake wamuone jamaa yake alivyo na wengine wanakuja kukukamua kiaina.

Mi nikuita ukija na mpambe nahamishia mashambulizi kwa mpambe
 
Fidel80,nimejitahidi kukuonyesha jinsi navyokupenda muda mrefu hukuona, leo umeaniambia:smile-big:.....moyo umesuuzika kabisa!!!! kweli kila kitu kina siku yake.....LOL:car:

:love::love::love: nashukuru kwa kulitambua hilo mweh Mungu anipe nini? Gunia la chawa nijikune mwaka mzima? hapana nashukuru
 
uliingia kwa gia gani?kama ulianza kwa u knw wora amu seying,wats up wats up yoooo then inahuuuuuuuuu!They say utavuna ulichopanda!

Na ..'In December I was in....for Xmas' and am planning to be in ...for Easter'....hata mie ningekukomesha! Ukitoka hapo yu won't knw wora u are seying!
 
mh,nimegundua kitu. Kumbe na yangu nzuri sana ndo maana jamaa ananipenda sana. Maty hebu nipe test ingine kama unajua plz.

Hivi Tatiana,
hata mb......o nzuri huwa mnajua zina test gani ati?
naomba uzoefu wako mama!!!!!
 
Hivi Tatiana,
hata mb......o nzuri huwa mnajua zina test gani ati?
naomba uzoefu wako mama!!!!!

Hahahahaha Bacha bana hawa viumbe atajua ina radha mpaka umfikishe yeye anapo taka.
 
sure man....nimetongoza mademu wengi JF nikagundua wengi wao madume tu......art ya shori utaijua......hv painkiller shori?

Hahahaha Painkiller sijui bana, kuna majina mengine ni vigumu kujua ni shori au njemba lazima uanze kwa kuuliza wewe ni She au He
 
Hivi Tatiana,
hata mb......o nzuri huwa mnajua zina test gani ati?
naomba uzoefu wako mama!!!!!

Ha ha ha ha ha ha,pale mzoefu anapoomba uzoefu,kazi kweli kweli..................
Kwa jinsi ulivyomuomba Tati,i can imagine ukiwa unaomba K inakuwaje??
In short unanifurahishaga sana Bacha..................:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…