sielewi nini hapo Michelle?
hili swali limshajibiwa hapo juu Michelle,
mashine zingine zimeungwa ungwa tu kwa spare (used) za kichina,
hata uwashe vipi, labda utumie hendeli!!!!!!
Nimesoma,sasa si umsaidie apate spare za German,US ili mashine itulie,mpango mzima uendelee???
Kwanini umkimbie Bacha jamani??:Cry:
maisha magumu watu wanatafuta mabega ya kubembea ukikubali tu unalo
Hebu Mchwechwele,
washauri hawa wadada basi,
wavaaje wazuie huo uvundo?
guiness 2 + kiroba,
nasikia nayo ni balaa!!
Tati ndo anapenda hizo!!!!
Na joto la Dar unakuta mrembo kapiga dabali utafikiri anaenda kuchapwa viboko
uswahilini kwetu,
uzuri tunafahamiana,
hakuna hii!!!!!
hahaaa,kama utaweza kudumu kwa not less than 15mins itakuwa poowa si dk mbili tu hoooi kama fillet.
ngoja michelle aone hii,
shauri yako?
Actually, eti michelle, dabali ndo nini?
mi naungana na tati bacha.......:car:
hapo ndipo huwa nakupendeaga michelle wangu!
Always unasemaga kilicho kumoyo!!!!!!
hahaaa,kama utaweza kudumu kwa not less than 15mins itakuwa poowa si dk mbili tu hoooi kama fillet.
na joto la dar unakuta mrembo kapiga dabali utafikiri anaenda kuchapwa viboko
we sasa hizo invoice zinaandikiwa wapi kama sio huko huko nyie mwataka wali nazi halafu kulipa hamjui
jamaa ana pumnzi kubwa huyo anadumu kwa lisaa
Jamani kuna tabia ya mademu inanibore sana. Yani mara baada ya kumu approach hata hujafanikiwa ana anza kurusha invoice. Tabia hii ni mbaya na inauzi sana wanaume kwahiyo muache kupiga invoice kabla. Muwe tu wavumilivu you will be taken care.
ah,lisaa itakuwa adhabu tena hiyo.