Wenyewe ndio mwayataka hayo unakutana na mtu anaanza kuongea na simu oo lile kontena langu la simu liko njiani laja, mara unajua kuna yule nimemkopesha milioni tano ananizungusha na bla bla kibao unategemea nini? au mwingine anatoa simu tano tano mara kaongea na hii mara kaongea na hii mradi mashauzi tu lazima upigwe mzinga besides wanaume wa sasa usipomuomba tu utashangaa unaanza ombwa wewe
hivi huwa mnafuata nini huko?
mpaka kufikia kupewa bills zote hizo,
huwa najiuliza wana nini cha maana hao mpaka uingie mfukoni kiivyo?
kama shida yako ni kugusa na kusepa, then taabu yote ya nini hiyo?
Wenyewe ndio mwayataka hayo unakutana na mtu anaanza kuongea na simu oo lile kontena langu la simu liko njiani laja, mara unajua kuna yule nimemkopesha milioni tano ananizungusha na bla bla kibao unategemea nini? au mwingine anatoa simu tano tano mara kaongea na hii mara kaongea na hii mradi mashauzi tu lazima upigwe mzinga besides wanaume wa sasa usipomuomba tu utashangaa unaanza ombwa wewe
hivi huwa mnafuata nini huko?
mpaka kufikia kupewa bills zote hizo,
huwa najiuliza wana nini cha maana hao mpaka uingie mfukoni kiivyo?
kama shida yako ni kugusa na kusepa, then taabu yote ya nini hiyo?
ipi sasa
shopping ya mlimani city na karume tofauti kaka
ya lak 7
wooote?
nan kakudanganya wewe.....km unakutana na wa dzain iyo daily kimpango wako...BT SI MADEMU WOTE WANAPIGA MIZINGA..KM NI IVO KUSINGEKUWA NA WANAUME WANAOPENDA KULELEWA...INDPNDT WOMAN...SI WOOOTE WANAOPIGA MIZINGA WEWE ACHA USHAMBA UO KAKANGU.
KM UMEDONDOKEA pua na unakutana na wapiga miznga daily bas jichek fresh uwenda unajisifia sana so wanaoina ahhh uyu kisima cha pesa ....
haijalishi shopping umeifanya wapi kaka,
mi najaribu kuangalia hiyo starehe unayoifuata huko ni ipi?
sioni utofauti sana katika hizo starehe, kwani mambo mengine ni kutiana presha tu!!!!!!
mbaya zaidi, unakuta unagharamika sana,
mwisho wake hata hiyo starehe inakuwa karaha tu, unapewa kwa kubaniwa, masharti kibao!tabu tupu!!!!!!!!!!
ahh kumbe nia yako ni kugusa na kusepa...NISIKUONE TENAAAAAAAAAAAAAAAA
tehettehhee
unatoa laki saba halafu unaambiwa finishi kwikli
Hiyo ndo tabu yenyewe kaka,
bora niende uswahilini tu!
ukimlipia kodi ya chumba miezi sita tu,
mzee una guarantee ya kula mzigo mwaka mzima!
cost effective, maximum satisfaction!!!!!!
Hivi Maty, nikija na njaa njaa zangu,
nikawa nakutongoza, hivi kweli utanikubalia?
yaani nakupiga mzinga, kisha nakuomba na penzi!!!!hapo vipi?
Hiyo ndo tabu yenyewe kaka,
bora niende uswahilini tu!
ukimlipia kodi ya chumba miezi sita tu,
mzee una guarantee ya kula mzigo mwaka mzima!
cost effective, maximum satisfaction!!!!!!
Jamani kuna tabia ya mademu inanibore sana. Yani mara baada ya kumu approach hata hujafanikiwa ana anza kurusha invoice. Tabia hii ni mbaya na inauzi sana wanaume kwahiyo muache kupiga invoice kabla. Muwe tu wavumilivu you will be taken care.
Hiyo ndo tabu yenyewe kaka,
bora niende uswahilini tu!
ukimlipia kodi ya chumba miezi sita tu,
mzee una guarantee ya kula mzigo mwaka mzima!
cost effective, maximum satisfaction!!!!!!