wasichana wanabore sana

wasichana wanabore sana

Wengi wapo hivyo usafi hawajui kabisa.

Hawajui kuiacha K ipumue maana ikifunikwa na joto mda wote ina vunda ndo hivyo akivua tu chupi harufu rumu.

Uzoefu wa kwenda gesti na wanawake tofauti tofauti ndo maana yamekukuta hayo pole Fidel
 
Hahaha ukirudi home vaa khanga na g.string sio mda wooote umevaa lijeans sasa kitu kitapumuaje?

hahahaaaaa lol asante kwa k party una mambo weye lol sa unaonaje jioni tuonane pale tip top ili unipe darasa zaidi maana pia ukikutana na mtu aliezoea watoto wa uswazi kama anakupenda anakupa darasa kidogo lol ili ubadilike
 
asante mpenzi,mi nimekuwa nae mmoja tu miaka yote na ndo baba wa watoto wangu, quality uanijuaje?hizo ishara ni zipi???baba watoto hajawahi kulalamika,kule shinyanga nilipita kwa kungwi na natii mafunzo yote........................jf shule kweli......lol

jf ni zaidi ya chuo kikuu. Mwulize baba watto kuwa hivi " darl,hebu niambie unaionaje k yangu,je ni sawa na ya x wako au" haaahha
 
duuh bora niungane na bacha mambo ya sokoni kumbe mnaangalia hadi fyucha!!LOL

The Following User Says Thank You to michelle For This Useful Post:
samora10 (Today)

Ungana nae tu ila bacha anaweza kuharibu........simuamini sana kama ni mtu wa maneno yake!!!!!:smile-big:
 
Jamani kuna tabia ya mademu inanibore sana. Yani mara baada ya kumu approach hata hujafanikiwa ana anza kurusha invoice. Tabia hii ni mbaya na inauzi sana wanaume kwahiyo muache kupiga invoice kabla. Muwe tu wavumilivu you will be taken care.

Hizo unazopewa probably ni proforma invoice na sio invoice:thinking:.Kama ni 'biashara' lazima upewe proforma invoice ili kama ukijipima na kuona unao 'ubavu' una press 'order':smiling:.
 
Kuna sura zimekaa za kupigwa pigwa mizinga kisha kutoswa,labda upo humo mzee
 
ni kweli ni aibu,but je ww ukinuka kikwapa huoni aibu mbele ya mpenzi wako?

Hahahaha mwanaume ni mwanaume ndo maana akaitwa mwanaume kutokana na shughuli ngumu anazo fanya
 
Wewe yamekukuta haya si bure Fidel kabia naona alama zote za nyakati

Hehehehe niliwahi susa mzigo hivi hivi Guest kwa ajili ya usafi hamu iliisha yote nikamwacha humo humo mm nikachapa mwendo nasikitika gharama nilizo tumia alikunywa soda 2 na karanga mbichi za 200/=
 
jf ni zaidi ya chuo kikuu. Mwulize baba watto kuwa hivi " darl,hebu niambie unaionaje k yangu,je ni sawa na ya x wako au" haaahha

Duh,kasema tutakuwa na mazungumzo leo.............nahisi nakuja kupewa habari mbaya............lol
Huyu hana X,nilimbikiri mimi mwenyewe na shule nikampa,tumeanza darasa la nne.
 
Asante mpenzi,Mi nimekuwa nae mmoja tu miaka yote na ndo baba wa watoto wangu, quality uanijuaje?hizo ishara ni zipi???baba watoto hajawahi kulalamika,kule shinyanga nilipita kwa kungwi na natii mafunzo yote........................JF shule kweli......lol

ukiona hivyo ujue mashine nzuri bibie ndio ilompelekea hata akakaa na wewe muda mrefu na kukuoa hawa ikiwa mbofu walahi hakai hata uwe mzuri vipi. Na hata wewe waweza jua hii yangu njuli bwana wakati wajiosha kwanza mwisho vidole viwili kuingia kikishaanza cha tatu hapo shtuka anza kufanya mazoezi aliyotoa pauline sijui lini ile halafu kama ya moto pia unasikia kidole chaungua ungua na zile ck unazokaribia nyota ndio kabisaaaaaaaaaaa lol nimepitiliza pombe za kuamka nazo hizi mtanisamehe ngoja nikanywe supu
 
Ehe BE unajua unajidhalilisha mwenyewe. Akili inayokufanya Kwenda kulala PR ukae ukijua tayari wewe una kasoro sio unamkomoa mwanamke. Anagundua kuwa wewe kiwango duni hila kutokana na kuwa yeye mwili unahitaji anakubali. Hivi hujui kuwa wanawake wanawatumia wanaume kwa sex tu? Watch out usikubali kutumiwa tu na wadada?
Wanawake wote wako sawa tu - tofauti ni-aproach ya mwanaume! Kuna wanawake ambao nilikuwa naona matawi lakini ukimu-aproach unaweza kukuta hata ile gesti ya panorama karibu na Meeda Bar sinza inamtosha - tena short time!

Nimekutana mpaka wanawake ambao wakitongozwa wanaume wanawapeleka Dubai ku-do, lakini mimi huwa nawapeleka PR Sinza!

Katika swala na ku-do ALL WOMEN ARE EQUAL!
 
Baba Enock,nitake radhi.....

ungeniuliza nilikozaliwa,hapa tunaelimishana si kwamba nachoongea kina reflect mimi nilivyo,lets not take it personal
Am a very normal girl,nimezaliwa Shinyanga vijijini na nimekulia huko,kusoma nimesoma kwa hela ya baba yangu si kwa schorlaship(that one am proud of) ila kwenye kujadili ishu kama hizi tunapeana ma-experience tu,usinione matawi ambayo siko.....natumai umenielewa.

Kwa mtizamo wangu wasichana wazuri wako kokote si uswazi tu,hata shinyanga,iringa,sumbawanga,dodoma,arusha, kuna wasichana wazuri sana........uzuri is a relative term,huwezi mdanganya yeyote kuwa uswazi tu ndo kwenye wanawake wazuri,maybe kwingine kuna wanawake wazuri but you can not access them,na sina maana ya uwezo wa kifedha pengine distance..............lol

Samahani Shy Girl - I did not mean to offend you!
 
Ambayo haijapigwa soap soap ina shombo, alafu ipo ipo tu hakuna hata mvuto, haijitumi

Fidel leo umamkaje lakini wewe??/ Umekutana nayo nini Kingstar ukachukua mjengo kumbe mashine haijaoshwa tangu asubuhi maana una hasiraaaaaaaaaaaaaaaaa Pole My Brooooo
 
Kuna sura zimekaa za kupigwa pigwa mizinga kisha kutoswa,labda upo humo mzee

Hiyo ni kweli,kama ambavyo kuna wanaume ni spare tyre tu,washika pembe,wakuchuna tu na wakupoteza nao muda tu,au wengine wa zoezi tu then after that tusijuane..................:car::car:
 
Back
Top Bottom