Wasichana wananikimbia kwa sababu ya bao 6 na kuendelea!

daah, umeanza mapenzi mwaka jana na tayari umeshapata wapenzi wa3. mpaka huu mwaka uishe utakuwa umefikisha wangapi? ugopa:A S-fire1: mabao mengi yanaincourage michubuko hasa kwa wewe unaenza na huna ujuzi.
 
Tambua tu, bao 1 = kutembea kwa miguu km 27. Ukipungukiwa nguvu na kinga ya mwili usilalamike HIV.
 
Huna majukumu subiri stress zikuanze hata moja halitatoka:A S-fire1:

Mkuu joramhason, umegonga haswa, maana kwa majukumu na stress za maisha ngono wapi na wapi. Yaani kwa ubisy hata bao moja ni mbinde. Hili ni tatizo la damu changa. Ngoja waanza kuikamata mid 30s, 40s na 50s kama hawajafika hapa kuomba dawa ya MziziMkavu!!!!
 
Kaka kiukweli unahatarisha afya yako mwenyewe,mbali na kukimbiwa na hawa viumbe. ninacho kusihi jaribu kujicondition at least 3 zinatosha.Hakuna dawa wal tiba mkuuu.....zaidi ya kufanyia zoezi hilo nililo kwambia.
 
Kabaizer, si ndiyo wewe unahitaji cheti cha computer cha dili? nimeona kama umeweka tangazo hilo kule kwenye jukwaa la matangazo.
 
Nashukuru mlionipa ushauri na mlionibeza pia nashukuru sana kwan hata nyinyi mnamapungufu yenu japo hamuwez kuyaweka hadharani.kila la kheri katika kuwakatisha tamaa watoto wenu vijana wenzenu na hata wazazi wenu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kaka kiukweli unahatarisha afya yako mwenyewe,mbali na kukimbiwa na hawa viumbe. ninacho kusihi jaribu kujicondition at least 3 zinatosha.Hakuna dawa wal tiba mkuuu.....zaidi ya kufanyia zoezi hilo nililo kwambia.

Asante sana mkuu ubarikiwe sana kwan hata ukinipa ushauri mdogo nitaufanyia kazi kuliko anayeponda na kutoa hoja zisizo kua na mpango! Narudia tena asante sana mkuu!

Heri kimoja cha maana kuliko mia visivyo na maana!
 
Mkuu nikianza cha kwanza najiskia kuendelea hivi kwan hili ni tatizo naombeni msaada na sio kama najisifia!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
njoo zenji utovugwe kidoogo kasi itapungua tu!
 

Hivi mpaka leo bado kuna watu wanatafuta wanawake kwa staili hii?!! ( Staili ya mwaka 2001 hii). U know what? huyu jamaa hana lolote. Amefanya uchunguzi amegundua kuwa wanawake wengi hawafurahii tendo la ndoa kwa sababu wanaume zao hawana nguvu za kutosha na wanamaliza haraka. So ameleta uzi huu hapa JF ili wanawake wenye shida hiyo wam PM. Acha upumbavu wewe! hizi stori za kikhanithi zipeleke kwa ma kuchu wenzako. Umeshtukiwa, we hujajistukia tu? Nyambaff
 
Sunshow ndo hivyo kuna watu wanadhani pale uwanjani wanataka fanya kama SIMBA kwa YANGA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…