SukariTamu
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 295
- 59
Jaribu kutembelea Kambi ya Fisi..kule unapiga mpaka mabao 50...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa style unayotakaMkuu sasa hapo najiiba vipi??
Huna majukumu subiri stress zikuanze hata moja halitatoka:A S-fire1:
Jaribu kutembelea Kambi ya Fisi..kule unapiga mpaka mabao 50...
Kaka kiukweli unahatarisha afya yako mwenyewe,mbali na kukimbiwa na hawa viumbe. ninacho kusihi jaribu kujicondition at least 3 zinatosha.Hakuna dawa wal tiba mkuuu.....zaidi ya kufanyia zoezi hilo nililo kwambia.
njoo zenji utovugwe kidoogo kasi itapungua tu!Mkuu nikianza cha kwanza najiskia kuendelea hivi kwan hili ni tatizo naombeni msaada na sio kama najisifia!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Umenena, kazi siyo amepiga mabao mangapi bali bao moja lina kiwango gani?Ni kama wanapata mateso hawasikii raha yoyote kiufupi huna ujuzi zaidi ya kutoa na kujumlisha
Awe anapiga mabao kama ya Pirlo..Umenena, kazi siyo amepiga mabao mangapi bali bao moja lina kiwango gani?
Wakuu habari,
Mimi mvulana wa miaka 23,nilichelewa kufanya mapenzi kwani nimeanza mwaka jana tu nikiwa na miaka 22 sasa tatizo linalonisibu bila kwenda bao 6 na kuendelea sijiskii na baada ya bao la kwanza yanayofuata huwa nachelewa sana kukojoa at least dakika 20, na kwa bahat mbaya juzi nimekimbiwa na mpenzi wangu ambae ni wa 3 na kunimbia kua hajzoea bao zote hizo,sasa wanajamvi hili ni tatizo na je,linatibika? Msaada jamani naumbuka kijana mwenzenu!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huna majukumu subiri stress zikuanze hata moja halitatoka:A S-fire1: