Wasichana wanaopenda kunywa vinywaji vya bei ghaliii


Kusaidiana kupo sana my dear but inategemeana mmealikanaje hiyo siku, kama ni mdada ndo kakwambia nataka nikutoe out hilo liko wazi atalipa. Pia kama ni mkaka kasema atalipa pia, kama mmetoana out ni vema mkachangia cost, amenichekesha alivolalamika. Ila ni kweli wadada wengine siku hizi akitolewa out anaagiza amarula, kama ni bia basi zile za kijani zile wakati akiwa mwenyewe hanywi sielewi labda wanakomoa.
 
Sio kinywaji tu hata misosi, nikiwa TBR nilipata girl from uhazili nikampa ofa ya lunch kaja na wenzake 2, haya msoc wakaagiza mwingi mbaya ukawashinda maliza. Sasa sijui ndo kunikomoa au.

Nafuu wewe wawili, zinakwendaga mtu sita, msosi na kila mtu wine wengine rd wengine wt. Ndo utapojibeba.
 
SIku hizi inabidi ufuatwe ule mtindo wa "Dutch" bill ikifika kila mtu anakokotoa yake analipa. Si wanataka usawa bwana!
 
Mmmmhhhh ninavyo kunywa hata jina sikupi
Ukinitoa out utalia Walakhi. ..

Duuuuhhh usilalamike sana mie ntalipa. .
kwa nini wewe umpeleke mtu kwenye date sehemu ambayo huwezi ku afford? ????
 
Mmmmhhhh ninavyo kunywa hata jina sikupi
Ukinitoa out utalia Walakhi. ..

Duuuuhhh usilalamike sana mie ntalipa. .
kwa nini wewe umpeleke mtu kwenye date sehemu ambayo huwezi ku afford? ????

yaani kama afro ulikua kwenye mawazo yangu unatakiwa uangalie mfuko wako bwana kuna sehemu zingine ukienda vinywaji vyote hivyo vya bei ghali hakuna, na inategemea umechukua mwanamke wa aina gani mtafute fidel akupeleke kwa watoto wazuri na wenye gharama nafuu
 

hawakomoi. Nafikiri wanakuwa na hamu nazo ila mshiko utata.
Wengine mshiko uko poa ila wana kaubahili.
 

Maty Dear
vipi mambom mama ake??
za tangu mwaka jana??
hope weye na familia yako milishereheke x-mass vizuri
na so far mwaka unaenda fresh..
duuhh siamini hatujaongea tangu mwaka uwanze lol hatari hahahah lol
 

Kivue kiatu. Njoo uombewe. Kama huna uwezo acha uasherati. Hakuna uasherati wa bei nafuu. Tafuta mke oa na hutakutana na haya yote.
 

Kabahili haka, sijui kakioa itakuwaje
 
Demu uchwaraaaa achana hao ni wa kupeleka bar za kienyeji tu:love:
 
Unamwambia muhudumu, muulize dada anakunywa soda gani, ataona aibu kuagiza kinywaji cha gharama
 
She feels proud of you,she wants to show others that she got the right and strong choice
sasa si umuache atii kiu ya matamanio yake?au wataka nani amnunulie?
afterall ni mkojo atakojoa na wewe kuna mambo yetu yalee unapewa
 

umeyataka mwenyewe kelele za nini sasa starehe garama acha kutuaibisha
 
Siku moja nenda nae then mwache aagize vya bei juu bila kuuliza na ukipata nafasi unaondoka na kumuachia kazi ya kulipa,nadhani atajifunza kutaka kunywa vya bei ya juu kupitia migingo ya watu

Hiyo umenikumbusha alifanya jamaa yangu mmoja demu ikabidi aache simu yake
 
Jamani c na yeye anaonja ajue zina ladha gani kama wewe unavyotaka kumwonja! Omba usikutane na mie, mie nasoma menu naangalie cha bei gali kuliko vyote ndo naagiza, regardless of taste! taste itajulikana mbele kwa mbele babu lake! Sisi tunataka tusikizie tupo na buzi linalojiweza bwana sio unachukua buzi ngozi imembana! wapi na wapi! ukila nguruwe kula aliyenona.
 
Hiyo umenikumbusha alifanya jamaa yangu mmoja demu ikabidi aache simu yake

kuna watu hupenda kuitaita wasichana baa ili washow nao sasa hapo lazima ubebe responsibility

Floccinaucinihilipilification"

Wanawake tunawapenda lakini kuishi na mke ni kipaji
 

Mtuoneapo na huruma kidogo, si raha tunaenda kupata wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…