Jamani c na yeye anaonja ajue zina ladha gani kama wewe unavyotaka kumwonja! Omba usikutane na mie, mie nasoma menu naangalie cha bei gali kuliko vyote ndo naagiza, regardless of taste! taste itajulikana mbele kwa mbele babu lake! Sisi tunataka tusikizie tupo na buzi linalojiweza bwana sio unachukua buzi ngozi imembana! wapi na wapi! ukila nguruwe kula aliyenona.
Mtuoneapo na huruma kidogo, si raha tunaenda kupata wote?
Hivi kwa nini ukitoka na demu outing wanapenda kunywa drinks za bei ghali bila hata kujua kama una hela au la. Utakuta anajishebedua eti anataka kunywa cinzano, martin, redbull, amarula. Cha ajabu wakiwa wenyewe wanagonga konyagi, tusker, kilimanjaro.
Hahaha! mbavu zangu jamani huyu akajaribu uwanja wa fisi.Katafute mademu vilabu vya pombe za kienyeji. Wako nafuu sana. Shilingi elfu kumi unafunga baa nzima.
kamanda utamlazimishaje demu kunywa valuer,kwa nini usimpe ukweli kwamba una buku sita tu mfukoni ya kunywa?tafuta mademu wa hadhi yako,mimi nilishakomaga na mademu wa viwanja vya juu nimegeukia mademu wa viwanja vya chini tena wananidhamu ile mbaya.NIMEACHA MADEMU WA KINONDONI KWA SASA NACHUKUA MABIBO LOYOLA.Sasa si wewe ni buzi.
Mi nikitoka na demu simpi nafasi ya kuagiza mipombe yake, namwambia hebu leo onja valuer
kakioa si ndio poa, katakuwa kanajibahili na mwenziwe!!!!!!
mbona chai nazo gharama au unazungumzia chai ipi?ya kwa mama ntilie kwa mtogole utapata hata kwa sh 50.Basi shetani. Siku nyingine siagizi tena amarula, nitaagiza chai.
kamanda utamlazimishaje demu kunywa valuer,kwa nini usimpe ukweli kwamba una buku sita tu mfukoni ya kunywa?tafuta mademu wa hadhi yako,mimi nilishakomaga na mademu wa viwanja vya juu nimegeukia mademu wa viwanja vya chini tena wananidhamu ile mbaya.NIMEACHA MADEMU WA KINONDONI KWA SASA NACHUKUA MABIBO LOYOLA.
Haka kabia sikapendi kabisa.....
mkijua kutumia vya watu,
mjue na kuvilipa Trustme!!!!!!sio inafika kipindi na wewe uanze kulipa fadhila,
unaanza kumbwelambwela!!!!!acha hizo bana!!!!!!!
Dah nimesoma hii mada nikashindwa kujizuia ikabidi nichangie. Nafikiri blame ni ya pande zote. Nianze na upande wetu sisi wanaume. Kama unapenda show off and then your financial situation au ya pockets doesn't allow acha kujitutumua. Hiyo date ungeweza kuipanga mahali pengine (different venue) ambayo ungeokoa gharama. I remember zama zangu za college na kubeba box sikuweza ku afford kwenda out, lakini kwa sababu I know how to peel kitunguu na kukata nyanya, I made dinner na mrembo akaleta chupa ya wine...tuka rent movie date ikapita. Yote hayo kwa gharama ndogo kabisa.
Kwa upande wa akina dada...kuna ambao wanapenda kukomoa ingawa na naomba nieleweke sio wote .
The bottom line ni kwamba kama unatoka na mtu wako your wife, your fiancee, our date, they deserve to be taken to a nice place. So jiandae. Ukitoa choice ya "order chochote unachopenda"....you better have the means to pay for it.
Na wanaume tuwe na tabia ya kutoka na wanawake wetu (wives) sehemu nzuri nzuri and let them enjoy. Kwa wake zetu tunakuwa wa bahili kwa vimada no problem. Sio fresh.
kamanda utamlazimishaje demu kunywa valuer,kwa nini usimpe ukweli kwamba una buku sita tu mfukoni ya kunywa?tafuta mademu wa hadhi yako,mimi nilishakomaga na mademu wa viwanja vya juu nimegeukia mademu wa viwanja vya chini tena wananidhamu ile mbaya.NIMEACHA MADEMU WA KINONDONI KWA SASA NACHUKUA MABIBO LOYOLA.
ukiona wamekuja timu wapeleke kwenye baa za mbege dadi na banana huku wakishushia na mawashiwashi hakika hutatumia hata 10000 kwa madem 10 na wataondoka wote wakiwa toop.
Haka kabia sikapendi kabisa.....
jamani sio kusema kwa wasichana,
hata mwanaume akiona pa kupata kinywaji bila gharama huagiza cha bei ya juu.
all in all msichana high quality na vinywaji vyake high quality.