Wasichana wanaopenda kunywa vinywaji vya bei ghaliii


mkijua kutumia vya watu,
mjue na kuvilipa Trustme!!!!!!sio inafika kipindi na wewe uanze kulipa fadhila,
unaanza kumbwelambwela!!!!!acha hizo bana!!!!!!!
 
Mtuoneapo na huruma kidogo, si raha tunaenda kupata wote?

mwache anywe..tena wazuri hao kama anakunywa kitu kigeni kwake na bila kipimo we mpatie tuu maana balaa la kutapika hadi utumbo wewe hupo!!,na next tym muite utaona anavikwepa
 

Katafute mademu vilabu vya pombe za kienyeji. Wako nafuu sana. Shilingi elfu kumi unafunga baa nzima.
 
hata kama mwafanya wote kazi hawafunguimpochi zao kuchangia hata round moja. wachache sana wana huo moyo ktk mia yupo mmoja ambae anajali kuwa yy si wakupewa ofa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa outn
 
Dah nimesoma hii mada nikashindwa kujizuia ikabidi nichangie. Nafikiri blame ni ya pande zote. Nianze na upande wetu sisi wanaume. Kama unapenda show off and then your financial situation au ya pockets doesn't allow acha kujitutumua. Hiyo date ungeweza kuipanga mahali pengine (different venue) ambayo ungeokoa gharama. I remember zama zangu za college na kubeba box sikuweza ku afford kwenda out, lakini kwa sababu I know how to peel kitunguu na kukata nyanya, I made dinner na mrembo akaleta chupa ya wine...tuka rent movie date ikapita. Yote hayo kwa gharama ndogo kabisa.
Kwa upande wa akina dada...kuna ambao wanapenda kukomoa ingawa na naomba nieleweke sio wote .
The bottom line ni kwamba kama unatoka na mtu wako your wife, your fiancee, our date, they deserve to be taken to a nice place. So jiandae. Ukitoa choice ya "order chochote unachopenda"....you better have the means to pay for it.
Na wanaume tuwe na tabia ya kutoka na wanawake wetu (wives) sehemu nzuri nzuri and let them enjoy. Kwa wake zetu tunakuwa wa bahili kwa vimada no problem. Sio fresh.
 
Sasa si wewe ni buzi.
Mi nikitoka na demu simpi nafasi ya kuagiza mipombe yake, namwambia hebu leo onja valuer
kamanda utamlazimishaje demu kunywa valuer,kwa nini usimpe ukweli kwamba una buku sita tu mfukoni ya kunywa?tafuta mademu wa hadhi yako,mimi nilishakomaga na mademu wa viwanja vya juu nimegeukia mademu wa viwanja vya chini tena wananidhamu ile mbaya.NIMEACHA MADEMU WA KINONDONI KWA SASA NACHUKUA MABIBO LOYOLA.
 
ukiona wamekuja timu wapeleke kwenye baa za mbege dadi na banana huku wakishushia na mawashiwashi hakika hutatumia hata 10000 kwa madem 10 na wataondoka wote wakiwa toop.
 
kakioa si ndio poa, katakuwa kanajibahili na mwenziwe!!!!!!

haiwezi kuwa poa bcoz inaonyesha mwenzie mambo ya ubahili hafagilii ndio maana wakienda mahali anajiachia
 
jamani sio kusema kwa wasichana,
hata mwanaume akiona pa kupata kinywaji bila gharama huagiza cha bei ya juu.

all in all msichana high quality na vinywaji vyake high quality.
 

Mmmhhh Hapo kwenye red nimecheka mpaka nimezimia kkhaaaa
 
mkijua kutumia vya watu,
mjue na kuvilipa Trustme!!!!!!sio inafika kipindi na wewe uanze kulipa fadhila,
unaanza kumbwelambwela!!!!!acha hizo bana!!!!!!!

Kula na kulipa???? Eeehhh ndo mtindo wa kisasa??!!! Sikulijua hili aisee
 

Your talking brother thanx kubwa.
 

Duh wasichana mnaotoka na wanaume bahili safari hii mtanyweshwa mpaka sumu.
 
ukiona wamekuja timu wapeleke kwenye baa za mbege dadi na banana huku wakishushia na mawashiwashi hakika hutatumia hata 10000 kwa madem 10 na wataondoka wote wakiwa toop.

Mh jamani bucho ya kweli hayo? Au unawajaza wenzio ujinga. Naimani wewe huwezi fanya hivyo.
 
jamani sio kusema kwa wasichana,
hata mwanaume akiona pa kupata kinywaji bila gharama huagiza cha bei ya juu.

all in all msichana high quality na vinywaji vyake high quality.

Ndugu, utamsikia nipatie Jack Daniel with rocks(ice) or Campali, looh utadhani sifa vile afu wa dada hawalalamikagi maskini ndo kwanza wanaona utukufu but wanaume mnalia liaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…