bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Jamani c na yeye anaonja ajue zina ladha gani kama wewe unavyotaka kumwonja! Omba usikutane na mie, mie nasoma menu naangalie cha bei gali kuliko vyote ndo naagiza, regardless of taste! taste itajulikana mbele kwa mbele babu lake! Sisi tunataka tusikizie tupo na buzi linalojiweza bwana sio unachukua buzi ngozi imembana! wapi na wapi! ukila nguruwe kula aliyenona.
mkijua kutumia vya watu,
mjue na kuvilipa Trustme!!!!!!sio inafika kipindi na wewe uanze kulipa fadhila,
unaanza kumbwelambwela!!!!!acha hizo bana!!!!!!!