Wasichana wapiga mizinga, Mnajiaibisha mbele ya wanaume

Wasichana wapiga mizinga, Mnajiaibisha mbele ya wanaume

educator2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
395
Reaction score
455
Unakutana na msichana mrembo anavutia kwa muonekano na angalau mnaendana mfano dini etc. Unaamua kuanzisha uhusiano nae kwa malengo ya kuwa mwenzio wa maisha (Mke).

Sasa kidogo anaanza kukuambia naomba uninunulie simu yenye whatsapp, mara naomba hela ya mchango wa kitchen party, mara naomba kod ya nyumba, mdogo wangu kafukuzwa shule hana ada, twende Zanzibar holiday.

Zote hizi ni hela daah! hapo hamna hata wiki mbili. Kwa style hii aisee mtatukosa. Sikatai kukusadia lakin isiwe too much jamani kumbuka na mimi nina dhiki na ndugu kama wewe!
 
Cha bure ghali! Nitakuletea economic theories ku back up my argument!
 
tafuta wa type yako wa buku 2 hao wa nyumba gari tuachie sisi
AMEN,! Purchasing power yake ni book afu anataka kuconsume kwenye basket ya billions wakati price index hanaaaa! Atasubiri sanaaa! Mtu mwenye billions huwezi kutaka chiu wa bureee, out of EGO tu! Yaani uconsume basketmoja na wachovu? Thubutuuuuu!
 
kweli kabisa baadhi ya wanawake wanapenda ankara sana ushauri wangu tafuta wa aina yako hao waachie wenyenazo au kama unampenda sana jaribu kumuelesha juu ya hali yako halisi
 
Heeeeeeeeeeeeeeee
 

Attachments

  • 1400485951499.jpg
    1400485951499.jpg
    33.2 KB · Views: 299
Wa hivyo huwa mnawatoa au mnakutana nao wapi nyie watu?

Au ni nyie wenyewe ndo huwa mna exude vibes za kupigwa mizinga?

Maana sie wengine ukituangalia tu unaona kabisa huyu hapigiki mizinga kirahisi rahisi!

Kwanza sijui ataanzia wapi tu kunipiga huo mzinga maana usoni tayari ntakuwa na expressive look flani hivi....
 
Back
Top Bottom