Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiapply laws zako za kiuchumi na kumlinganisha mwanamke na bidhaa huoni kama unamdharilisha? Mwanamke kama bidhaa kwa tafsiri yangu ni kwamba mwanamke akijitambua kuwa hadhi yake ipo sawa sawa na bidhaa anajiuza, je wewe unajiuza?
Nimekubali... nimeona hata walioku-like ni wale wale....Na hadi tunajenga
Hahahahaaaaa...watasikiaje utamu wakati mbunye zenyewe kwa sababu ya kuziwekeza kibishara zimeota sugu...Kwani wkt wa kuduu nyie hamsikii utamu mpk mdai kulipwa!
Hahahahaaaaa...watasikiaje utamu wakati mbunye zenyewe kwa sababu ya kuziwekeza kibishara zimeota sugu...
starehe gharama kama huna hela si uache usitonggoze? kwan lazima?
Nimekubali... nimeona hata walioku-like ni wale wale....
:shock::shock::shock::shock:
![]()
Hahaaaaaa! Dont be so SENTIMENTAL! Kila mtu ni BIDHAAA,! Ndo maana ofisini mtu unauza labour power yako, hivo ili ununue vinavyoitajika! That is the truth! Mwanamke mwenyewe huyo huyo anaishi kwa kununua!
Sizitaki mbichi hizi....hizo hizo mbunye ndo mnazianzishia threadHahahahaaaaa...watasikiaje utamu wakati mbunye zenyewe kwa sababu ya kuziwekeza kibishara zimeota sugu...
Honey yenyewe hii inayotembezwa kwa kila mtu mwenye laki za saluni!! Imejaa virusi tupu...No money no honey
Kwani tunakataa, si hata magari tumenunua kwa hela na tunayahudumia kila kukicha. Kwa hiyo tuwanunue na ninyi mmekuwa bidhaa?Sizitaki mbichi hizi....hizo hizo mbunye ndo mnazianzishia thread
mtajibeba, za bure umbeni zenu
nyie ndio mnasikia utamu zaidi ndio maana huwa mnausaka kwa hali na mali.
Kwa hisani ya masai dada cc lara 1Kwani tunakataa, si hata magari tumenunua kwa hela na tunayahudumia kila kukicha. Kwa hiyo tuwanunue na ninyi mmekuwa bidhaa?
Goods for money...hahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Yah! Vijana wanapingana na laws of nature mambo ya demand and supply! Wanataka chiu wa bei ghali wapewe bureeeeee! Ushaona wapi hio perfect market ikaacha kujibalansisha na kuji contradict? Waache wajipe moyo!Same old discussion. Anything new?