li demu li moja: chuma cha mjerumani kisicho pata kutu mambo jamani?
chuma cha mjerumani: poa mamii mzima?
li demu li 1: nimekumiss chuma?
chuma cha mjerumani: me to. juzi mbona nilikupigia hukupokea na tulipanga uje home siunakumbuka mama watoto kaenda seminar ya offce dar atarudi leo
li demu li 1:nilikuwa kwenye birthday ya evlyn salt
chuma cha mjerumani:kwaiyoo baada ya kukuta missd call ulichukua hatua gani unakuja kunitafuta leo. wee mwanamke umeshaanza kugegedwa hukuaga hivyoo. ndo unataka nimuache wife wangu nikuoe wewe kwa tabia zako iziii siutaniua kwa presha
li demu li1: sawa bby siwez kukufanyia hivyoo mwache uyoo mke wako kwanza kakeketwa
chuma cha mjerumani:tuheshiame wewe mwanamke kakeketwa lakini hachepuki kama wewe.
li demu li 1; basi chuma hutaniwi?
chuma cha mjerumani: sijui ilikuaje nikawa na wewe mpare kwanza mlevi. unapenda staree. sijiu ni ayoooo ma chachandu uko kiuononi ndo umeniloga nayo
li demu li 1:ha ha ha babu wewe umelikoroga lazima utalinywa mm mpare sio uyoo manka wako aliekeketwa.
chuma cha mjerumani:tuheshimiane wewe mwanamke.
li demu li1:sasa bby wangu nitumie basi ile laki tatu niongeze ya kodi basi
chuma cha mjerumani:kimya
li demu li1: bby unafanyaje mbona kimya
chuma cha mjerumani;mke wangu karudi tutawasiliana baadae.