Wasichana wapiga mizinga, Mnajiaibisha mbele ya wanaume

Na wakatu huo huo unakuta na yeye ana kazi yake na analipwa kila mwezi ila anakuona wewe jitu bure babu jinga.
 
nyie ndio mnasikia utamu zaidi ndio maana huwa mnausaka kwa hali na mali.
Ubinafsi tu
Dawa yao ni kuwakopa tu siku wakileta invoice unasepa


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app

 
A true playa doesn't pay for puntang. One good date na ukimleta crib basi kesho yake asubuhi vimondo vinaanza "baby nikwambie kitu?". Mwanamke mpiga mizinga anajidharaulisha sana. Nendeni mkawakamate wajombawajomba malimbukeni wa wanawake. Sisi wengine hamtupati.
 
Mh wapo wengi mtu anakuadd kwenye fb ukiaccept tu anakuomba pesa ni aibu kwa wanawake
 
Kupiga mizinga lazima nisipokuomba ww nimuombe nan?ndo hyo njia ya kuanza kuchepuka kwasbb hunitimizii mahitaj yangu..achen ubahil mkono mfup haulambwi.
Sasa ww unaridhika kabisa...Mwanaume akutimizie mahitaji yakk wkt bado hajakuoa..halafu kwani ww kilema hata usifanye kazi kujitegemea...vilema wale wanaoendesha bajaji wanakuzidi ww kimaumbile??? Yaani ubategesha papuchi kama mdomo wa Mamba au kama kapu la kuombea pesa kwa mwanaume...fanya kazi,jimudu mahitaji yako kwa jasho lako mwenyewe..acha ubwege wa fikra..eti kuchepuka..jitegemer mwenyewe...tena ona dhambi kutegemea pesa ya wanaume kwa mtaji wa kiungo cha kati.
 
tumechoka na vilio vyenu si utafute kiatu cha size yako bhana mumezidi kuparamia size za wenzenu matokeo yake vinawapwaya mnaanza kulia lia hapa, vizuri gharama na usione vyang'aa vinagharamiwa huwezi pisha wanaojiweza.
Uzuri upi...akili chenga..mawazo yako tu yanaonesha uzuri zero..uzuri unanunurika??? Uzuri gani huo..kujidhalilisha tu..uzuri haununuriki..ukiona mtu ananurika kimapenzi...huyo sio mzuri bado .your lost.
 
Kwa awamu hii bora nionekane bahili tu. Niiponye pesa na roho yangu.
 
Hali ilivyo itabidi vijana wamrudie Mungu tuanze ku-save badala ya kuhonga
 
Daaaaaaaaah [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…