Wasichana Warefu ni wazuri sana

Betina
 
Una chicha lillokolea nazi but wanawake mostly wadhaifu Niko kwenye utafiti wa kusoma akili za mademu
 
Toto kama hizi automatically ni nzuri tu.
 

Attachments

  • 20241027_214720.jpg
    64.1 KB · Views: 3
Urefu kwa mwanamke ni kigezo Mojawapo na cha msingi katika kutambua ulimbwende au uzuri wa mwanamke tangu enzi za mababu.
 
Ni kwa wanaume bana sio ke!

Nani Kakwambia hivyo?!
Ni kwa wanawake.
Tafuta kujua utakuja kuelewa badae.
Hadi mababu ukienda mjini na vijijini kawaulize β€œ eti mwanamke mlimbwende au mzuri anapaswa kuwaje ?
Watakwambia.
Haijaanza leo wala jana hiyo.
Pendeni kukaa karibu na wazee mtajifunza vingi.
Unamnunulia fegi, chupa ya mzani au boha au fanta anachotaka kisha piga nae story Halafu ukae mkao wa kuwa msikilizaji zaidi kuliko kuongea.

It is very unfortunate lakini hicho ndicho kilochopo kwenye jamii.
 
Sio wanawake warefu pekee yao ndo wanavutia,hata wanaume warefu nao wanavutia Sana.

Tatizo Mimi mwenyewe hapa Ni mfupiπŸ˜₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…