njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
kuna mawili either huwa wanakua wanaume na ukipiga simu anampa mdada ambaye anakuwa amemset au ni wadada Wauza nyambi siku hizi digital huwa wanauza online hawajipangi road
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijitusu nakupa alaf nakupga mtng ujikut mabwepndSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Ss tunawasaidia tumechka kuona picha zenu za uchi mitandaon kwa njaa ndognsg wanawafanyia kitu mbaya kisa vilak...mnatuaibishawe huna hela wenzio wakiombwa wanatoa double
Ungmpiga mtungo ajutie njaa zake[emoji23][emoji23][emoji23] mapovu yanawatoka yaani kuna demu niliomba zigo akaelewa kutaka kupakua app akasingizia ngoja amalize pepa nikatulia siku....hiyo hiyo akaomba hela ya kusukia nikamkadiria nikampa kidogo baada ya siku kamaliza pepa nikaenda kumpitia chuo tukapitia kkoo kwenda home anasema hajajiandaa siku ingine mara bado mapema nikamwambia mbona khs vocha,hela ya kusuka hukusubiri upite mwaka ndo uanze kuomba?huku wiki moja nyuma kashaomba hela ya mkoba, bando la chuo ndo usiseme na mm kila alichoomba nikawa namwambia mwisho wa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23] nilimtelekeza kkoo hata nauli sikumpa alitukana kinoma nikamwambia mbwa kala mbwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaelewa ila wengne nawajua n mamanz nawachra tu...id za kiume nazjua wanarushiaga mademu walitrend na picha za uchiseems mgeni mgeni mtandaoni, kuna watu kwa lugha ya mtaani tunawaita "madera" hawa ni wanaume wanatumia id za kike na kupiga vizinga wanaume wenzao.
kwenye social network za kitanzania ukiona tu mwanamke anapost picha picha za makalio, yupo tayari kutuma picha za utupu, anajibebisha kirahisi rahisi ujue hapo kuna walakini na kuna possibility kubwa ni mwanaume,
hakuna mwanamke mrahisi hivyo, mwanamke anapenda kusumbua sumbua na kuringa, hizo ndio sifa zao.
We njaaa tu mfanye kaz unataka kumi na tano jasho hutoi ....ka nd tabia yako amkaaaImekuchoma wewe muomba papuchi, kuombwa 15000 unakuja kuhoroja Jf
Thubutuuu!
Hapa kabla sijaombwa nimesha toa tayari tena zaidi ya hiyo 15...
Washenzi kweli ila mm ndo zangu naomba leo mzigo akikubali siku hiyo hiyo maaana pesa inatafutwa akiwaka basi aitunze atapewa mshahara mwisho wa mwezi...akikupiga kibomu halafu usile mzigo anajisifia kwa wenzie eti kuna boya kaliwa ***** nani awe mfano? Toa uliwe tuNdo zao siku mbili tu kibomu wwe siku mbili mbili ukiomba mchezo anakwambia mbona unaharaka Sanaa. Ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mapovu yanawatoka yaani kuna demu niliomba zigo akaelewa kutaka kupakua app akasingizia ngoja amalize pepa nikatulia siku....hiyo hiyo akaomba hela ya kusukia nikamkadiria nikampa kidogo baada ya siku kamaliza pepa nikaenda kumpitia chuo tukapitia kkoo kwenda home anasema hajajiandaa siku ingine mara bado mapema nikamwambia mbona khs vocha,hela ya kusuka hukusubiri upite mwaka ndo uanze kuomba?huku wiki moja nyuma kashaomba hela ya mkoba, bando la chuo ndo usiseme na mm kila alichoomba nikawa namwambia mwisho wa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23] nilimtelekeza kkoo hata nauli sikumpa alitukana kinoma nikamwambia mbwa kala mbwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuchakaza my dear ucngrudiaThubutuuu!
15000 imekutoa povu iphone7 si utaenda mpaka magazetini?[emoji28] [emoji28]
Kipenzi.Sasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga mtaa. Mbna pum**bu Zako zikibana unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.