Wasichana wenye nyash wapewe maua yao


Tako asilia linaishaje kwa mfano
 
Tako asilia linaishaje kwa mfano
aloo linaisha sana tu, hii miili yetu wengi ni temporaly, leo kesho unakonda na kunenepa.

Tena tako ndo bidhaa yenye maswahibu, linaweza lisipotee mazima ila mwili ukanenepeana hivyo na hilo trako lisionekane.
 
Ndugu mpenzi Mtanzania mwenzangu kwa kweli kwa akili hizi haustahili hata kidogo kulalamikia bandari kuuzwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]daah nimebanja balaa , mshoste kweli ww ,acha mabaharia wapoteze mawazo
 
Mi sipendelei sana mwanamke mwenye makalio makubwa.

Sa sijui ni hali ya kawaida au ni tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…