Yeah Nyoshi El Saadat
Matako makubwaNyash ndio nini? Wengine tunaishi huku vijijini ndani ndani.
Ni tamaa zetu ila iko overrated.
Huwa nawachoka mapema sana hawa watu.
Sometimea huwa nawaza kua na mahusiano na wenye nyash maana kiukweli nyash ikiisha kumpenda huwa ni ngumu.
Kabla hujamtongoza unajiuliza hivi huyu nimempenda au nimependa nguo na tako tu.
Tako likiisha huwa wanakua na kisirani sana, na huwa linaisha ni wachache hulimaintian toka udogo wao.
aloo linaisha sana tu, hii miili yetu wengi ni temporaly, leo kesho unakonda na kunenepa.Tako asilia linaishaje kwa mfano
[emoji23][emoji23][emoji23]daah nimebanja balaa , mshoste kweli ww ,acha mabaharia wapoteze mawazoNdugu mpenzi Mtanzania mwenzangu kwa kweli kwa akili hizi haustahili hata kidogo kulalamikia bandari kuuzwa.
Matako MAKUBWA ndio NYASH
Kingereza KIGUMUDu mkuu hadi ume GUGU (in Makalla's voice). Kumbe nyashi ni K sio chura? Kazi ipo aisee! 😳 🙄