Wasichana wenye nyash wapewe maua yao

Wasichana wenye nyash wapewe maua yao

Ni tamaa zetu ila iko overrated.
Huwa nawachoka mapema sana hawa watu.

Sometimea huwa nawaza kua na mahusiano na wenye nyash maana kiukweli nyash ikiisha kumpenda huwa ni ngumu.
Kabla hujamtongoza unajiuliza hivi huyu nimempenda au nimependa nguo na tako tu.

Tako likiisha huwa wanakua na kisirani sana, na huwa linaisha ni wachache hulimaintian toka udogo wao.

Tako asilia linaishaje kwa mfano
 
Tako asilia linaishaje kwa mfano
aloo linaisha sana tu, hii miili yetu wengi ni temporaly, leo kesho unakonda na kunenepa.

Tena tako ndo bidhaa yenye maswahibu, linaweza lisipotee mazima ila mwili ukanenepeana hivyo na hilo trako lisionekane.
 
Ndugu mpenzi Mtanzania mwenzangu kwa kweli kwa akili hizi haustahili hata kidogo kulalamikia bandari kuuzwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]daah nimebanja balaa , mshoste kweli ww ,acha mabaharia wapoteze mawazo
 
Mi sipendelei sana mwanamke mwenye makalio makubwa.

Sa sijui ni hali ya kawaida au ni tatizo.
 
20230619_163614.jpg
 
Back
Top Bottom