Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Sawa mi yangu macho
Halafu unamteka mtu kwa hoja za kisiasa badala ya kuzijibu! utateka Wangapi?

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Siku zote nilikuwa nikidhani kuwa wewe Erythrocyte ndiyo Boni Yai. Sasa ndiyo nimejiridhisha kuwa siyo yeye, maana Boni Yai yuko ndani lkn nyuzi za Erythrocyte hazikatiki.
Hata watekaji na CCM wote waliamini hivyo, Sasa jambo hili nadhani ndio linaonyesha ukubwa wa kikosi cha Chadema, si rahisi kuimaliza, ishatapakaa kuliko Kansa ya damu
 
Kwa hiyo huyo Mungu watu wake ni waisrael tu?

Na huyo Mungu alikubali waisraeli waue hayo mataifa mengine ili yeye apate kuthibitishwa?

Aisee huyo Mungu wa waisraeli ni wa hovyo sana.

Huyo Mungu hafai kabisa ni muuaji anapaswa kufurushwa.

Hizi hekaya muwe mnawasimulia wajukuu zenu huko nyumbani.
Tatizo unasoma bila kujifikirisha.

Hujui jinsi Mungu anavyoweza kuwabariki au kuwaadhibu wanadamu. Mungu aliweza kuwadhibu jamii fulani kwa kupitia jamii nyingine. Mathalani, Mungu aliweza kuiangamiza jamii fulani iliyomkufuru kwa kupitia vita. Jamii inasimama dhidi ya jamii nyingine kupigana vita, kisha jamii iliyomkufuri Mungu inaangamizwa. Hata wayahudi walipomkosea Mungu, kuna wakati walivamiwa na maadui, walipigwa vibaya na kuchukuliwa mateka. Lakini wao kwa sababu walimtegemea Mungu, ilipotokea hivyo, waliamini kuwa ni lazima wamekwenda kinyume na mapenzi ya Mungu, ndiyo maana wameingizwa kwenye vita, wakapigwa, na kupelekwa utumwani.
 
Iran ilipo washambuliwa kwa makombora walienda kuipiga ?

Achana kwanza na project ya Nyuklia Iran ambayo wanaiendeleza licha ya vikwazo vya magharibi maana kichwa chako kimeazimisha akili
Iran iliposhambulia Israel kwa makombora na drones zaidi ya 300, na kumjeruhi myahudi mmoja, Israel ilijibu kwa kuteketeza mtambo wa kurushia makombora ndani ya Iran, Iran ikaamua kutulia. Kumbuka shambulio lilifanywa kwa ndege, na ndege ilirudi salama.
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations"
Wee jamaa sijui unaandika nini hiki
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations"
Acha mboyoyo za kindezi hapa kuwapamba hao machoko,unadhani unajadiliana na ndezi wenzako humu sio ? unajua nini wewe kuhusiana na gunduzi za sayansi na teknolojia wewe ?
Unajua Iq ya Koreans au Japanese wewe ?
Jews hata hawamo kwenye top five list ya most intelligent ethnics Kwa taarifa yako , acha ushamba wa mapastor feki wenu hao , mko brainwashed kama zombies , mazafakaz you can't even think on your own .
Unaweza kutuwekea idadi ya scientific discoveries patents za mazayuni hapa ina comparison na ethnics za white Caucasians WA kijerumani ,English ,Dutch ,French .
Japanese, Indians ,Chinese nk throughout history mpaka sasa ?

Unajua ni idadi ngapi ya scientific discoveries zimefanywa na wachina
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations"
Haya majamaa yana akili sana.

Kipindi Yakobo (Israel) amerudi Kaanani toka uhamishoni kwa mjomba wake Labani, akirudi na wake zake pamoja na watoto. Kuna kijana mmoja mtoto wa mfalme akajipendekeza na kumbikiri mtoto wa Yakobo. Kisha akaenda kuomba aoe kabisa. Watoto wa kiume wa Yakobo waliporudi to machungani na kukuta hizo taarifa wakasema huyu jamaa fala sana yaani anamtendea dada yetu kama kahaba. Ngoja tuone.

Basi wale watoto wa Yakobo wakawaambia ninyi hamtairi magovi yenu, mkitaka kuoa dada zetu tairini magovi yenu. Basi amri ikapita katika ule ufalme wanaume wote watairi magovi yao. Siku wametairiwa, jamaa wakawaacha siku kadhaa vidonda vikomae, halafu wakachukua mapanga na kwenda kuwauwa wote kwa kosa la kimharibu dada yao. Yaani hata Yakobo baba yao aliogopa kwa yaliyofanywa na watoto wake.

Kwahiyo hawa jamaa qana akili ya kipigana toka zama zile.

Kumbuka pia mwenye jina la Israel yaani Yakobo alipigana mieleka na malaika na akashinda, leo Ayatollah au Nasrallah unategemea atamshinda Yakobo?
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations"
Waarabu nao hawana akili wanalazimisha vita wasivyo na uwezo navyo..wamezidiwa kila kitu ila bado wapo tu..

mimi ningekuwa na uwezo wa kushauri iran na nchi zinazoipinga Israel ningewaambia hivi..wakati ni ukuta ukishindana nao utakupiga tu.. kwa sasa mbabe wa dunia ni marekani ambaye mshirika wake mkuu ni Israel..sasa hapo huwezi kutoboa

wangejiimarisha kwenye uchumi km china au india then waache kazi ya kumtoa Israel kwa vizazi vijavyo huko..

kipindi cha othuman empire au ottoman empire ilikuwa rahisi sana kuwaondoa hapo maana mturuki alikuwa na nguvu na mbabe dunia zima lakini kwa vile wamerudi sasa wawaache maana wamerudi na nguvu kubwa mara 100 zaidi yao..

Waarabu Wasubili wakati sahihi wanakurupuka sana kwa jazba.
 
Kwa hiyo huyo Mungu watu wake ni waisrael tu?

Na huyo Mungu alikubali waisraeli waue hayo mataifa mengine ili yeye apate kuthibitishwa?

Aisee huyo Mungu wa waisraeli ni wa hovyo sana.

Huyo Mungu hafai kabisa ni muuaji anapaswa kufurushwa.

Hizi hekaya muwe mnawasimulia wajukuu zenu huko nyumbani.
Hakuna nchi inaogopwa duniani kama Iran kwa makombora ya nyuklia iliyonayo na godfathers wake China, Urusi na India ambao juzikati wametamka wazi ukiigusa Iran watakuja na wao.

Hata Iran waliporusha makombora Israel na yakatua Marekani waliionya Israel isijibu na ikaufyata mkia, haikujibu kwa vita bali inasidikika ilimuua tu Rais wao tu.

Mleta Mada nakushauri jifunze zaidi kuhusu uhasama wa Iran na Israel. Bado huna taarifa za kutosha. Hii ni vita ya tembo wawili sio tembo na swala. Ni vizuri kufahamu pia kuwa hata Lebanon hawawezi kuingia maana wameshajaribu vita mara nyingi na wakauawawa sana mpakani na kukimbia wanachotegemea ni mashambulizi ya anga na si ground invasion sababu wanapoingia kivita Lebanon Syria, Iraq na Lebanon huwachangia.
 
Back
Top Bottom