Wasifieni wake zenu! Kuna nguvu kwenye kusifu

Wasifieni wake zenu! Kuna nguvu kwenye kusifu

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Uzi wa namna hii, nauandika leo kwa mara ya pili...

Nikweli unamtunza, unamlisha, unamvisha n.k, lkn kumbuka, Nayeye anaouwezo wa kujifanyia hayo .

Usimchukulie Poa, Usimdharau akajua, Usimsaliti akajua na ikitokea amejua jitahidi tu kutumia hata uongo unaojua kumplz , Usimfanye ajione hana thaman, usifanye ajione sio mzuri ...

Kwa ivo chunga Maneno na matendo yako wakati wote wa Furaha au Hasira zako.

Mbona wakati wa Upenzi, ulikua unamfukuzia sana,unaliaa, anakusumbuaa, Haya mmeona, mmezaa ,ndo sasa ubadilike na kumchukulia poa???

Wasifieni uzuri wao, wasifien jitihada zao,sifia mapishi, anavyokupangia nguo, anavyokupikia, anavyokugusa, sifia tuuu

[emoji117]Kwenye kusema naishia hapo
[emoji116]
Hizi hapa Chini ni baadhi ya Jumbe kadhaa za Wanawake waliopo kwenye Ndoa zao ambazo ni Ndoano.

1-- G baada ya kuolewa na kuzaa, mume wangu akabadilika, akanifanya nijione sifai, mpaka nmekuja kukutana nawewe kipindi chote hiko sikua na furaha, Ahsante sana Baba yangu kwa Kinifanya nijione Mwanamke.

2--- Dear, nina elimu, Kazi na Maisha mazuri, lkn sikuwah kuyaona yana raha baada yakuolewa, Mume amebadilika ,kiasi kwamba nilishindwa hata Kujijali mwenyewe, Nakupenda G umekuja maishan na sasa najihisi nmekamilika.

3[emoji117]G, nmemuomba sana Mungu, nmemuuliza uliruhusu Ndoa hii ili niteseke? Na nitaendelea kuteseka mpaka lini? Najua namkosea ila namm ni mwanamke nahitaji Furaha na Amani, miaka zaidi ya saba ndoani bila Amani wala Furaha, G ahsante sana Rafiki yangu kwa mapenzi unipayo sasa.

4[emoji117] Wewe ndio Umenifanya kwa sasa Najiamini sana aisee, I love you G . Huyu Mwanaume hakuwah hata kuuona uzuri wangu

5[emoji117]Unajua alinifanya kama Boya , vituko vyake na makusudi yake yalinifanya niwe mjinga, lkn sasa nmestuka, sina time naye tena, sasa nipo nawewe My G.

6-- Kaniambia anasafiri ila mimi kwa sasa sina hamu naye kwa sababu ya vituko vyake alinifanya nijion mbaya,alifanya niachane na mitandao yakijamii, nilishindwa hata kua najipost mitandaoni. Ila toka nmekupata wewe G, mpaka siku hizi ananiuliza, mbona siku hizi Unajipost sana?
[emoji116]
Ni mengi yaivo

Point yangu nayohitaj muondoke nayo, hata km unachepuka, Asijue, hata kama unachepuka, hakikisha Unamuheshimu, Hata iweje ,hakikisha Unamsifiaa. Ajione kama yeye ndio mwanamke pekee aliyekukamataaa , aliyekuwezeaaa, kwamba wee ni bwege kwakeeeee , wee msifie tuuu Man, Kubaliana nayeee hata anapokua anaonyesha ufaham mdogo wa jambo fulan.

Wanawake ni kama watoto wadogo, haijalishi ana Umri gani, ila Akili zao ni sawa na za watoto ... Umewah jiuliza kwann mtoto mdogo ,kitu chake ni chake, atakililia , atahitaj umsifie? Atahitaj mbele ya watoto wenzake ,umuonyeshe kua unampenda sanaaaa? Kwa leo naishia hapa..

Mkitoa mapovu mtoe..ila tutakutana kwenye Uzi wetu pendwa wa Kula Tunda Kimasihara bila hata kutoa Hela zaidi ya Porojo na kusifia sifia tuu [emoji23]

Hela unayompa kwa Masimango, mwenzio anapandia BUS kumfata Mwanaume anayemliwaza.
 
Unataka wasifiwe lakini mifano yote uliyotoa wao wanasifia G wao tu huku wakilaumu waume zao (na ndio uhalisia) .... Let me say this to men and women , Love is like karma, what you give, you get paid five times over !!
 
Wasifieni uzuri wao, wasifien jitihada zao,sifia mapishi, anavyokupangia nguo, anavyokupikia, anavyokugusa, sifia tuuu
.....bila ubishi....ila ziwe sifa za kweli kutoka moyoni....

Wanawake ni kama watoto wadogo, haijalishi ana Umri gani, ila Akili zao ni sawa na za watoto ... Umewah jiuliza kwann mtoto mdogo ,kitu chake ni chake, atakililia , atahitaj umsifie? Atahitaj mbele ya watoto wenzake ,umuonyeshe kua unampenda sanaaaa ?
...hata wanaume pia....mnahitaji kusifiwa....na mkiwa na sisi...ndio mnakuwa kama watoto kabisaaaa.....

Mweyewe umesifiwa huko mpaka umekuja kuturingishia hapa....😉😉
 
Malaya ni Malaya tu haijalishi utamsifia vipi ili iwe

Nadhani utafika tu wakati wa kuoa na wewe utawaona hao viumbe .

Drama zote hazina mashiko , hata ukimpeti vipi, akakunyea ukamtawadha na sifa kedekede . Ikifikia maamizi ya kikuzimu atatoka tu,

Utabembeleza utampa vocha atampigia hawala wewe hata sms ya asante hutaipata, utahakikisha mahitaji yote ya nyumbani muhimu unampa yeye anapika na kumpelekea hawala yake, utamsifia na atakupa ikulu ufyeke nyasi na kufagia harafu utamsifia sifa zote atampelekea Jemba akaikojolee. NK

Wewe mwanaume jipe Raha wewe mwenyewe [emoji14][emoji39] w fanya unayoyaweza yaliyoko kwenye uwezo wako.
 
Kwahyo ww kazi yako ni kutembea na wake/wapenzi wa watu tu na unajigamba kana kwamba unachofanya ni chamaana sanaa???? Nadhan ni utoto tu bado unao kichwani ukikomaa kiakili utaacha
Nilijua tu .

Ona Jamaa, Watanzania tuko zaidi Milion 60

Asipoliwa na Mm, ataliwa na mwingine

Na sababu za kuliwa ni zilezile..

Lengo hapa sio kuonyesha umwamba, Lengo ni kuonyeshen kitu gan wanavikosa
 
Hata ukiwa bingwa wa kusifia, wapo wanaosifia zaidi yako...

Tabia ya mtu ni kama ngozi, huzaliwa nayo
Fanya sehem yako, wanawake ni rahisi kuridhika na kutulia iki mradi tu ametambua ,yeye ndio mwanamke akiyekuwezea.
 
Malaya ni Malaya tu haijalishi utamsifia vipi ili iwe

Nadhani utafika tu wakati wa kuoa na wewe utawaona hao viumbe .

Drama zote hazina mashiko , hata ukimpeti vipi, akakunyea ukamtawadha na sifa kedekede . Ikifikia maamizi ya kikuzimu atatoka tu,

Utabembeleza utampa vocha atampigia hawala wewe hata sms ya asante hutaipata, utahakikisha mahitaji yote ya nyumbani muhimu unampa yeye anapika na kumpelekea hawala yake, utamsifia na atakupa ikulu ufyeke nyasi na kufagia harafu utamsifia sifa zote atampelekea Jemba akaikojolee. NK

Wewe mwanaume jipe Raha wewe mwenyewe [emoji14][emoji39] w fanya unayoyaweza yaliyoko kwenye uwezo wako.
Ni rahisi sana mwanamke kutulia na Mwanaume mmoja
 
Nimeishia kusoma usimsaliti akajua
Wanaume/wanawake ifike sehemu mfanye mambo yenu kwa kumhofia Mungu na si mwanadamu, sidhani kama kuna dini inayosema ktk amri zake usimsaliti mke/mume akajua ila inakataza moja kwa moja swala la usaliti na kwa hapa ni swala la uzinifu, usizini kwa kuheshimu amri ya aliyekuumba
 
.....bila ubishi....ila ziwe sifa za kweli kutoka moyoni....


...hata wanaume pia....mnahitaji kusifiwa....na mkiwa na sisi...ndio mnakuwa kama watoto kabisaaaa.....

Mweyewe umesifiwa huko mpaka umekuja kuturingishia hapa....[emoji6][emoji6]
Nikweli Rowin, Sifa zakweli nahata km si zakuonekanaz wee zisimamie ..

Kwa mfano, mwanamke hana matiti yaliyojaa, nawewe mwanaume unapenda matiti yalojaa, but ndio keshakua mkeo

Msifie tu . yaan matiti yako hayo Baby ni mazuri sanaa ,nayapendaaa ,ndio sababu napenda kuyagusa gusa ....

Nasisi wanaume tunapenda sana kusifiwa piaa in fact kusifiwa kunaonyesha umetambulika

Hahahaa la muhim kwa mada sikutaka watu waone nasifiwa laaa hashaa

Hizo mesezi ni za wanawake tofaut tofaut, nahao wote Visa vyao vya ndoani, Nikwamba, wakikutana na mwanaume akafanya kumliwaza na kumfanya ajione yeye ni mwanamke mrembo wa sura na umbo na tabia......huyo mwanamke atajikuta kajisalimisha kwa Jamaa.( wanamiss vitu muhimu sana).

Sio kwamba unakuta huyo Jamaa ana Pesa ,au uchumi mkubwaaa,,kwamba ndio sababu ,la ashaaaaa.....

Kuna Wakati Furaha ya mwanadamu itokayo ndani yake, haitegemei Pesa, nahii ndio muhim.

The Jackal Hawapi Pesa wala Nn , lkn wapo wanaosafiri kumfata Toka Arusha , Mwanza ,Singida n.k ...and yes wanasafiri kumfata mwanaume wanayejua nayeye ana Mke na watoto..lkn wanakuja ,wakiwa wameridhia.
 
Unataka wasifiwe lakini mifano yote uliyotoa wao wanasifia G wao tu huku wakilaumu waume zao (na ndio uhalisia) .... Let me say this to men and women , Love is like karma, what you give, you get paid five times over !!
Fanya kumtumia meseji hii

" Husna Mke wangu, wewe ndio maisha yangu, wewe ndio Dunia yangu na kila kitu kwangu, Uzuri wako wa sura hasa Macho yako na lips zako na umbo lako vimeendelea kutawala hisia zangu,moyo na akili, napenda sana mapishi yako rafiki yangu Uwe na Asubuh njema mke wangu.

Mtumie hiyo meseji..hakikisha umelitaja jina lake, ili kama huwa humsifii, asihisi umeikosea labda.

Then nipe Mrejesho wa upokeaji wake.
 
Malaya ni Malaya tu haijalishi utamsifia vipi ili iwe

Nadhani utafika tu wakati wa kuoa na wewe utawaona hao viumbe .

Drama zote hazina mashiko , hata ukimpeti vipi, akakunyea ukamtawadha na sifa kedekede . Ikifikia maamizi ya kikuzimu atatoka tu,

Utabembeleza utampa vocha atampigia hawala wewe hata sms ya asante hutaipata, utahakikisha mahitaji yote ya nyumbani muhimu unampa yeye anapika na kumpelekea hawala yake, utamsifia na atakupa ikulu ufyeke nyasi na kufagia harafu utamsifia sifa zote atampelekea Jemba akaikojolee. NK

Wewe mwanaume jipe Raha wewe mwenyewe [emoji14][emoji39] w fanya unayoyaweza yaliyoko kwenye uwezo wako.
[/QUOTE
mkuu comment yaki inabidi itolewe kopi na iwekewe lamination
 
Back
Top Bottom