Wasifieni wake zenu! Kuna nguvu kwenye kusifu

Wasifieni wake zenu! Kuna nguvu kwenye kusifu

Mwana saikolojia mmoja wa chuo cha kikuu cha princeton marekano alisema
dalili ya mtu asiye jitambua yeye ni nani huwa na hulka kupenda sifa na huwa rahisi kirubuniwa kama atasifiwa tu kwa sababu yeye haoni thamani yake mpaka asifiwe(hajiamini)

Mara nyingi watu kama hutapeliwa na kutumika kwamasrahi wengine kutokana kuwa mlevi wa sifa.
ni rahisi kusaliti mtu kwa ajili ya sifa tu mfano mzuri mama yetu eva alimsaliti adamu kwa ajili ya sifa tu alizopewa na nyoka ndio hadi leo shetani huwatoa binadamu kwenye furaha yao kwa njia ya sifa maana hata yeye ndio kilichomtoa mbinguni,

hii iko sawasawa na mwanamke aliyeolewa ambaye anajua kabisa mpaka mwanaume amekuoa amekuheshimu sana maana kuna wanawake wengi tu wapo nje wanatangatanga bila ndoa lakini mwanamke huyu kwa vile akili yake haifanyi kazi vizuri bila sifa bila ya kujua matapeli wengi huanza na sifa.

Pia kipimo cha upendo kwake ni mtu kumsifia basi huanza kumuona aliyemuheshimu kwa mchagua miongoni mwawanawake maelfu ni mpumbavu asiyemthamini na asiye na mapenzi ya dhati basi huanza kuwafata hao matapeli wake hapa ndipo udhibitisho kuwa watu wanaopenda sifa ni brain washed

Mtoa mada mimi kwa maoni yangu ni bora udili na akili yake ili ajimbue thamani yake bila hata ya kusifiwa kuliko kumpa hizo sifa maana siku unaweza pata ajali ukaumia mdomo ambayo itakubidi ukae mwaka moja katka hali ya ububu ili upone halafu mke wako anakutana na strangers huko mtaani wa kimsifia sidhani kama utaokoa kitu ikiwa mke wako ni mlevi wa sifa

Wanasaikolojia wanakuambia
"TAKE THEIR BRAINS LEAVES THEIR BODIES"
 
Nilijua tu .

Ona Jamaa, Watanzania tuko zaidi Milion 60

Asipoliwa na Mm, ataliwa na mwingine

Na sababu za kuliwa ni zilezile..

Lengo hapa sio kuonyesha umwamba, Lengo ni kuonyeshen kitu gan wanavikosa
yes umeonyesha kitu gani wanachokitaka lakini hatua aliyochukua bibie ni hatari kwa afya yake,,,usiaminishe watu kuwa wanawake wakikosa hivyo vitu lazima watoke nje ya ndoa zao."tabia ni ngozi"

Wanawake wanayo nafasi pia kwenye mahusiano kumfanya mume amkumbuke kila mara kwa matendo anayomfanyia,,acha kutupia tu lawama kwa wanaume,, wakati mwingine wanawake tunatengeneza mazingira wenyewe ya kufanya tudharauliwe.

this relationship must be two way traffic and not otherwise.
 
yes umeonyesha kitu gani wanachokitaka lakini hatua aliyochukua bibie ni hatari kwa afya yake,,,usiaminishe watu kuwa wanawake wakikosa hivyo vitu lazima watoke nje ya ndoa zao."tabia ni ngozi"

Wanawake wanayo nafasi pia kwenye mahusiano kumfanya mume amkumbuke kila mara kwa matendo anayomfanyia,,acha kutupia tu lawama kwa wanaume,, wakati mwingine wanawake tunatengeneza mazingira wenyewe ya kufanya tudharauliwe.

this relationship must be two way traffic and not otherwise.
Sawa mkuu umesema...mimi ninani nikatae
 
Ni rahisi sana mwanamke kutulia na Mwanaume mmoja
Na ni vyepesi Sana mwanamke kuchepuka

Na mtakuja na sababu nyingi Sana
Mara mwanaume kiba100.
Mwanaume hasifii.
Mwanaume hamridhishi.
Mwanaume nimemchoka.
Mwanaume ni Malaya.
Mwanaume msahamba
NK NK NK

Nawaambia wanaume wote mwanamke ni wako unapokua naye tu , usihesabu wakati haupo naye maana unaweza kufa mapema
 
Usiingie kwenye mtego wa kusifia mpaka ukamkufuru Mungu

Amesema yeye ndiye Mungu hakuna kama yeye

Harafu unaanza kufuru kumwambia mwanadamu hakuna kama wewe

Angalia katika sifa za wenyeakili anasema katika Wana wa maabinti hakika wewe umewazidi wote.

Siyo vifupishi vyenu hakuna kama wewe that is kifuru
 
Back
Top Bottom