Wasifieni Wanawake zenu...

Naendelea kusifia hela zangu
Hahaha Hi I thread Siamese ma kwa wasiokuwa na hela ... Haiwezekani niwe na hela zangu then bado niwe nasifia sifia tu (kidding)


Honestly speaking Ukiachana na pesa wanawake wanapenda vitu vikubwa vi3 kama mwanaume ukiwa navyo hivi kwako watakuwa hawachomoi itawatafuna kama kuku

1 Sifia Kari ya uwezavyo hapa mixer unakuwa unamuambia maneno fulani hivi dirt worda gals huwa wanapenda sana dirt words like bae mhh papuchi yako inanukia vizuri yaani huwa unani confuse sana mke wangu

2 zawadi .kuwa mwepesi sana wakumpa mtoto wa kike vijizawadi yaani usiwe mchoyo katika hilo

3 good sex yaani hapa ndio kwnye msumari wa mwisho ..fanya uwezavyo mtoto wa kiume ujue ku+!@n@ vizuri ... Ukim+ia mtoto wa kike vizuri haswaaa hata ikitokea mkabreakup atazunguka weee akikosa mwanaume wa kumkuna ipaswavyo lazima akutafute tena Huku akiwa anakupa ushuhuda kuwa aliokutana nao wamekuwa wanaishia kumkuna tu hakuna hata aliyemfikisha Kibo 😂 😂 😂

Na jambo lingine La nyiongeza kuwa mcheshi Sana kwa mtoto wa kike '' penda penda kutumia viji maneno vyao vya kike ukiwa unachat nae like my Wangu 😂 Baby Yake ' mchumba . etc .. Then thanks me later
 
hauko seriously kabs we mpe bichwa uone
[emoji3][emoji3] kijana kupenda lazm ubalance shobo umenifurahishwa kwl
 
Si bule,kunajambo hapa
 
Dah! umenena vema sana

Ngoja nisikilizie kama kuna maajabu yeyote yatatokea,ila angejua nnavomfikiria
Asingejiuliza mara mbili

All in all me ntaendelea na kazi yangu ya muziki kama alivonena Bamboo kwenye moja ya nyimbo zake.
Duhuuuu,huyu janja wa kuitwa Carlos amenifurahisha sana ati "sikuizi wanawake Wana huruma sana" kwa hoja kama hiz anafaa kuwa mfalij wa wajane😁😁😁
 
Kenge wewe
 
Nilidhani ni mimi pekee ninayejua hii siri. Huwa wanakutafuta wenyewe kama ukijua kuwachezea akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…