Wasifieni Wanawake zenu...

Wasifieni Wanawake zenu...

Naendelea kusifia hela zangu
Hahaha Hi I thread Siamese ma kwa wasiokuwa na hela ... Haiwezekani niwe na hela zangu then bado niwe nasifia sifia tu (kidding)


Honestly speaking Ukiachana na pesa wanawake wanapenda vitu vikubwa vi3 kama mwanaume ukiwa navyo hivi kwako watakuwa hawachomoi itawatafuna kama kuku

1 Sifia Kari ya uwezavyo hapa mixer unakuwa unamuambia maneno fulani hivi dirt worda gals huwa wanapenda sana dirt words like bae mhh papuchi yako inanukia vizuri yaani huwa unani confuse sana mke wangu

2 zawadi .kuwa mwepesi sana wakumpa mtoto wa kike vijizawadi yaani usiwe mchoyo katika hilo

3 good sex yaani hapa ndio kwnye msumari wa mwisho ..fanya uwezavyo mtoto wa kiume ujue ku+!@n@ vizuri ... Ukim+ia mtoto wa kike vizuri haswaaa hata ikitokea mkabreakup atazunguka weee akikosa mwanaume wa kumkuna ipaswavyo lazima akutafute tena Huku akiwa anakupa ushuhuda kuwa aliokutana nao wamekuwa wanaishia kumkuna tu hakuna hata aliyemfikisha Kibo 😂 😂 😂

Na jambo lingine La nyiongeza kuwa mcheshi Sana kwa mtoto wa kike '' penda penda kutumia viji maneno vyao vya kike ukiwa unachat nae like my Wangu 😂 Baby Yake ' mchumba . etc .. Then thanks me later
 
hauko seriously kabs we mpe bichwa uone
[emoji3][emoji3] kijana kupenda lazm ubalance shobo umenifurahishwa kwl
 
Umeona eenh! Wanakuchukia ila watajifanya kukupenda ili wakufahamu wakuone jinsi ulivyo ikiwezekana wakukule kimasihara halafu waje waambizane humu hawana lolote hao!

Hakuna mwanaume wa humu anayefurahishwa na hii misimamo yetu hayupo hata mmoja wasije wakakudanganya eti wanakuelewa! Halafu na hizi id ngeni zinazokuja pm ziogope sana au zile id unakuta ni ya muda mrefu ila ina posts chache yaani nyingi zinakuwaga ni subtitute ids zao!
Si bule,kunajambo hapa
 
Dah! umenena vema sana

Ngoja nisikilizie kama kuna maajabu yeyote yatatokea,ila angejua nnavomfikiria
Asingejiuliza mara mbili

All in all me ntaendelea na kazi yangu ya muziki kama alivonena Bamboo kwenye moja ya nyimbo zake.
Duhuuuu,huyu janja wa kuitwa Carlos amenifurahisha sana ati "sikuizi wanawake Wana huruma sana" kwa hoja kama hiz anafaa kuwa mfalij wa wajane😁😁😁
 
Chini ya Jua hamna mwanamke Anayejiamin iwe katika Uzuri wake wa sura na umbo, Upishi, Mavazi, ufanyi kazi wake uko kazin, majukum ya nyumban n.k ..

Kwa haraka Ukimchukulia mwanamke kama kiumbe anayebeba Nyumba nzima, ni wazi kua nayeye hana hakika kama kila jambo kalifanya 100% inavyotakiwa.

Wanawake wanapenda KUSIFIWA KUSIFIWA KUSIFIWA , wanapenda Juhudi zao zionekane na kuthaminiwa, wanapenda michango yao nakila kitu kionekane kwako na ukitambue na yeye ajue wazi kua UMEKUBALI

Niivi , Anaweza kweli kua na Sura nzuri au Umbo zuri ,LAKIN KUNA KIUNGO ANAKICHUKIA SANA NA HANA HAKIKA NA UZUR WA KIUNGO Hicho ..mfano Anaweza simama kwa Kioo akajitazama juu chin ,alafu akachukua Pua yake.. Au matit, au Mguu, au Nywele, au Sikio, au Vidole n.k ..

Nawapa SIRI moja.

Kama huna Hela au Una hela ... Weee tanguliza kusifia tu , msifie anavyonukia, msifie Uzuri wake, sifia Saa alovaa, sifia Helen mwambie kabisa zimependesha masikio yako, Sifia macho yake, Sifia Pua, Sifia mguu, sifia makalio, sifia kiuno chake

Wee sifia tu.

Hata km ni mnakutana kazin... Wee msifie mara mnapokutana.. Sifia alivyopendeza, sifia anavyonukia, sifiaa sifiaa tu ,alafu SIFIA UCHAPAJI KAZI WAKE ,sifiaaa sifiaaa tu

Kama ni Mkeo nyumban sifia tu anavyokupikia, sifia anavyowajibika, sifia alivo mtamu kitandan, sifia tu uzuri wake ,msifiee msifieee

YAAN WEE MFANYE AAMINI KUA HAPA DUNIANI ,YEYE NDIO MWANAMKE PEKEE ALIYEKUWEZA, ALIYEKUKAMATA KISAWASAWA.....
Hata kama ana uchumi wake binafsi ( ACHA KUSHOBOKEA UCHUMI WAKE ) Wee sifia tu juhudi zake, sifia tu anavyopambana na maishaaaa.

Sheria ni ngumu ila ni sheria, KUMSIFIA MWANAMKE ni kitu kidogo sana ambacho Hakigharimu kitu, lkn Faida yake ni kubwa Sanaaaaaaaaaaa
Nahizi ni baadhi

Kumla Kimasihara kama sio demu wako

Yeye ataachana na michepuko mingine ili mradi tu keshajua ana mwanaume kamkamatia kisawasawa.

Hata usipomuhonga Pesa ,yeye karidhika tu ili mradi anajua keshakukamata ...( hapa wee utapaswa tu kumuelezea mipango yako , nakwakua wanaishi kwa ndoto badi ataridhika)

Kama umemuoa ndo kabisaa atakupa mambo matamu sana kuanzia kitandan, mapishi, na mahitaji meeengi ukiwa kama Mume wake.

....Sifiaa Sifiaa Sifiaa

...Jiaminiii ,onyesha una ujasiri ..( wanawake wanapenda mwanaume jasiri ).

...Kua Kijana Nadhifu wa Mwonekano.

Na mengine mengi kutegemea na aina ya Mwanamke.!!.

NB..SIFA IZO LAZIMA ZIAKSI VILE UNAVYOJISIKIA WEWE..

mf.. Wee Mwanamke jamani hayo macho yalivyo mazuri , nikikutizama tu huwa najikuta nmekua dhaifu ghafla,

KAMA ni demu wako, nyoosha maelezo kabisaa

............."najikuta nmekua dhaifu ghafla hadi mbooo hunisimama "[emoji23]

KAMA hujawah mtongoza, unamtaka au unataka kumla kimasihara.....

............"najikuta nmekua dhaifu ghafla ,kiasi kwamba huwa nawaza siku moja nikae nawee mahali patulivu tukiwa wawili, niyatizame hayo macho yako wakati unafika kileleni huwa yanakuaje!!
Kenge wewe
 
Nilidhani ni mimi pekee ninayejua hii siri. Huwa wanakutafuta wenyewe kama ukijua kuwachezea akili.
 
Back
Top Bottom