Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti KENZY we kaongo.Mi nasifiaga hadi huwa anakibofu kizuri lkn hanipi! Nishamsifia mpk seli zake za damu lkn ndo kwanza ananiambia "kenzy we kaongo" haitoshi nishamsifia hadi vichunusi vyake kuwa vinaota kwa mpangilio nikajibiwa "toka hapa!"
Mwengine nikamsifia mpk jipu lake kuwa limeota pazuri! Nilipigwa na sufuria lilikuwa na dawa yake ya kujikandia na jipu lilikuwa limeotea kwapani..[emoji51][emoji51]
haaa kuna ile mwanamke sio dem wako wala nn, labda ni mfanyakazi mwenzako n.kDuh, huyo ambaye ,,unamwona siyo mzuri kivile'' ni Mke wako au girlfriend?
Sahihi kabisa, kama navyokusifiaga kwa sifa za kweli kweli huku nikitumia pambo zuri la lugha.Wanao toa sifa za uongo hao wanakosea.
Mwanamke anapenda kusifiwa ila sifa ziwe za kweli na uwe fundi wa kuzipamba hizo sifa.
Jurjani
[emoji8][emoji8][emoji8]Sahihi kabisa, kama navyokusifiaga kwa sifa kweli kweli huku nikitumia pambo zuri la lugha.
NB:kusifia haimaanishi kwamba hukosoi...
Ila siku ukikosoa utaonekana mkweli na pia kusikilizwa
Mkuu mi si mfupi..😂[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti KENZY we kaongo.
Sema watu wafupi hamuishi vituko[emoji28]
(Joke)
[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu mi si mfupi..[emoji23]
Mimi sipendi kusifiwa ujingaHivi kuna mwanamke asiependa kusifiwa na mpenzi wake kweli?
Me nakukubali sana naota uwe wangu,sijui nifanye nini ili upate kunielewa carihaMimi mwanamke Ila sipendi kusifiwa na kusifiwa huko hakunibadilishi kitu,nakukubali the way I'm and I don't need extrnal validation. Kuna sifa najua tu huyu muongo