Wasifieni Wanawake zenu...

Wasifieni Wanawake zenu...

Mimi mwanamke Ila sipendi kusifiwa na kusifiwa huko hakunibadilishi kitu,nakukubali the way I'm and I don't need extrnal validation. Kuna sifa najua tu huyu muongo
Baby unatembea Kama twiga..😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe singasinga oooh
Kweli siongopi Cariha,Nshateseka sana scout nlizofanya zimeprove failure hadi nimekata tamaa labda mimi sikuumbiwa hizi baraka,
Lakini nikiangalia hapa naona tumaini kubwa juu yako.
Wewe ni mwanamke na nusu.
 
Ngoja nianze

She trusted me dearly, nilisafiri kwenda ktk gradution yake hakuna ndugu aliyeenda haku amini....she became crazy she wanted to see me all the time...she begged for a week to meet twice or thrice hahahaaaa....












Nb

Life challenges made her change later...
 
Sawima nakukubari sana yani post na comment zako zinafanyaga nione ww ni msichana flani unayejielewa na mcheshi pia, mitazamo yako inafanya nihisi ww ni aina tunayeweza kubond na kuenjoy muda pamoja, natamani sana nikuone nje ya jf nikupe sifa zako[emoji849]
Umesema kitu kizito sana wanaume chukueni hii point.
 
Kweli siongopi Cariha,Nshateseka sana scout nlizofanya zimeprove failure hadi nimekata tamaa labda mimi sikuumbiwa hizi baraka,
Lakini nikiangalia hapa naona tumaini kubwa juu yako.
Wewe ni mwanamke na nusu.
Umeteseka na nini?
Na vtu gani vimefeli huko,
Umenifuraisha hapo pa mwanamke na nusu
 
Hii sekta ya kusifia nilishafeli mazima. Siwezagi kusifia kinafiki, na siwezagi kusifia visivosifiwa

Nasifiaga uhalisia tu. Na nikisifia sirudiagi kusifia the same thing every now and then, yaan naona kama vile it's boring to her and even more boring to me.

Hii sekta nina zero kabisaaa
 
Wanawake wanapenda masikio yao kusikia sifa nzuri.

Tena ukiona kuna sehemu anajishtukia msifie sehemu hiyo hiyo utampa confidence na kuwa huru!
Na hapa ndo wazee wa kucheza na hisia zao wanapowalaga kimasihara

Kuna mabrazamen wamespecialize kwenye hizi mambo
 
Mwanamke anaeliwa kisa kasifiwa tena ukute sifa zenyewe za uongo ni punguani na tahira kama tahira wengine. [emoji3][emoji3]
 
Mimi mwanamke Ila sipendi kusifiwa na kusifiwa huko hakunibadilishi kitu,nakukubali the way I'm and I don't need extrnal validation. Kuna sifa najua tu huyu muongo
Wewe ni wawili ktk mia i think
 
Hii sekta ya kusifia nilishafeli mazima. Siwezagi kusifia kinafiki, na siwezagi kusifia visivosifiwa

Nasifiaga uhalisia tu. Na nikisifia sirudiagi kusifia the same thing every now and then, yaan naona kama vile it's boring to her and even more boring to me.

Hii sekta nina zero kabisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora umefeli kuliko ungekuwa una sifia kumbe moyoni ana kutukana
 
Umeteseka na nini?
Na vtu gani vimefeli huko,
Umenifuraisha hapo pa mwanamke na nusu
Nimeteseka sana na mahusiano ya kimapenzi nliyoyapitia mpaka muda huu japo sio mengi ila hata hayo machache yamekua tofaut na matarajio kwa kiwango kikubwa.

Moja ya vitu vilivyofeli ni kuwa sipati mwanamke mwenye passion na mimi kutokea moyoni zaidi ya kufanyiwa maigizo.

Ndio, kwa muda nilokuona hapa jukwaani kuna vitu unaandika naona kabisa mwanamke kama wewe ndie nnaemuota kila siku(hamzaliwi mara nyingi)bahati mbaya sikuwahi kukutana naye kabla.
 
Nimeteseka sana na mahusiano ya kimapenzi nliyoyapitia mpaka muda huu japo sio mengi ila hata hayo machache yamekua tofaut na matarajio kwa kiwango kikubwa.

Moja ya vitu vilivyofeli ni kuwa sipati mwanamke mwenye passion na mimi kutokea moyoni zaidi ya kufanyiwa maigizo.

Ndio, kwa muda nilokuona hapa jukwaani kuna vitu unaandika naona kabisa mwanamke kama wewe ndie nnaemuota kila siku(hamzaliwi mara nyingi)bahati mbaya sikuwahi kukutana naye kabla.
Mapenzi ni changamoto kwa wengi kwa dunia ya Sasa maana watu wanaangalia vtu mtu alivo navyo matokeo yake ndio hyo too much fakeness. Sikuhizi ni rahisi kupata wanawake/ wanaume wa kugegedana Ila ni ngumu kupata real love kabisa.

Pole Mungu akufanyie wepesi inabidi utafte mtu very matured.

[emoji23][emoji23]Hyo paragraph ya mwisho umenifuraisha kweli, Mimi huku JF wengi wananiona na tabia mbaya sifai wewe wataka kunifata?!
 
Sawima nakukubari sana yani post na comment zako zinafanyaga nione ww ni msichana flani unayejielewa na mcheshi pia, mitazamo yako inafanya nihisi ww ni aina tunayeweza kubond na kuenjoy muda pamoja, natamani sana nikuone nje ya jf nikupe sifa zako[emoji849]
Hahaha
 
Back
Top Bottom