Wasifieni Wanawake zenu...

Dah! umenena vema sana

Ngoja nisikilizie kama kuna maajabu yeyote yatatokea,ila angejua nnavomfikiria
Asingejiuliza mara mbili

All in all me ntaendelea na kazi yangu ya muziki kama alivonena Bamboo kwenye moja ya nyimbo zake.
 
Watu wanasifia maendeleo ya nchi ww unasifia kalio la mwanamke wtf
 
Dea plz kanywe 1 baridiiiiih, nakuja kulipa.
 
Komaa tu mwana .


Hata kama Moyo umetangulia hakikisha umebeba Ubongo wako kiganjani ili ubalansiiii.

Life tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na hizo ndo kanuni zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakua ameshapata changamoto kubwa kutoka humu so ku unblock firewall aloiweka
Mpaka serikali iingilie kati.
 
[emoji3516]
NI MWENDO WA KUPIGA PAMBIO MITHILI YA MAKADA NA VIBARAKA WA CCM,
WANAVYOSIFIA KUZIMWA KWA INTERNET WAKATI WANAHANGAIKA VIJIWENI KUTAFUTA KUOMBA VPN YENYE SPEED NZURI!!!!
[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Na hapo ndipo wanaume mnapofeli!
Kuchukulia advantage huruma ya wanawake!
 
Dah! umenena vema sana

Ngoja nisikilizie kama kuna maajabu yeyote yatatokea,ila angejua nnavomfikiria
Asingejiuliza mara mbili

All in all me ntaendelea na kazi yangu ya muziki kama alivonena Bamboo kwenye moja ya nyimbo zake.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka Roberto angalau hata huko chemba kwake pangekua panafikika labda tungeweza jadiliana kwa kiasi,
Ila kapafunga so kila kitu kinaishia hapa hapa.

Kuhusu jinsia sina shaka kabisa huyu ni mwanamke tena pure raised african
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka Roberto huwez amini nimekataliwa wazi wazi mbele ya hadhira
Kuna dada hapo juu kaja kunipaishia kabisa njiwa wangu
Hajui kiasi gani nnampenda cariha

Dah! yote maisha tu[emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23]eti Kuna dada kakupaishia njiwa wako
 
Sijasoma yote ni ndefu inaumiza. Subiri kwanza, ati kama huna pesa sifia sifia tu mwanamke ataingia mtego? Ati sifia heleni? Ati sijui sifia upotolo gani? Aiseee labda kama mkeo, ila mpango kando jipange tena.
Dah hiyo miguu...kuna mtu nilipishana naye inafanana na hiyo nikakukumbuka...those
 
Pole yakupasa utulie ujipe likizo na ijitafakari Kwanza na kabla ya kuanza mahusiano uwe makini sana
Ila sa zingine wanaume tunajichoresha sana!! Hivi unampendaje mtu ambaye hata sura yake huijui, tabia zake hujui af unasema umetokea kumpenda🥰🥰!! Hivi huyu mwanamke akikuuliza umempendea nn una jibu la kumpa kweli??? Kwa kweli mimi natamani af tabia ya mwanamke ndo inanifanya nimpende au nisepe..
 
Kusifia sifia mwisho wake nikupewa K kama asante,
Imenitokea nilikuwa namsifia jirani yangu mwendo wake, siku akaniambia nifuate ili uangalie ninavyotembea mpaka uridhike, nilimfuata kweli na tukaishia guest ,,na Sifa zikaishia hapo
Hahahah mbinu za kijasusi mbobezi 😂😂😂
 
Carlos MITANO TENA ............though sifa unisifie zile ninazojua nastahili hizi za uongo nitakuwa naona tu unanichora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…