Wasifieni Wanawake zenu...

Wasifieni Wanawake zenu...

(Nilikula tunda kimasihara jf ) Singasinga naona hii title inamuogopesha@cariha
Kweli asee! nafahamu sio rahisi kabisa kwa binti aina yake kuniamini kwa mazingira haya tulokutana
Natamani hata tungekutana nae sehemu nyingine labda angenielewa,but i cant change her mindset iwaze hapa ni church or wherever.
 
Wanawake wanapenda masikio yao kusikia sifa nzuri.

Tena ukiona kuna sehemu anajishtukia msifie sehemu hiyo hiyo utampa confidence na kuwa huru!
Naomba kukazia hapa mkuu.

Jambo muhimu sana hili.

Tena wakati mwingine hujishusha labda kwa kusema "kupika kwemyewe hata sijui vizuri wali siupatii " sasa wewe hapa sio umsapoti enhee umeona eeee,wali huupatii bwana hapo alikuwa anatega ili ajijue kama anajua ama laa,akijishusha na kujikosoa mwambie tuu mbona unapika vizuri sana wali ila tu ndo kawaida ya wapishi wazuri huwa kila wakipika waanaona bado,wali mzuri huu mke wangu kama kuivisha si ni suala la kurekebisha tu kidogo.

Basi hapo kesi klozdi
 
Sijasoma yote ni ndefu inaumiza. Subiri kwanza, ati kama huna pesa sifia sifia tu mwanamke ataingia mtego? Ati sifia heleni? Ati sijui sifia upotolo gani? Aiseee labda kama mkeo, ila mpango kando jipange tena.
Naomba niwe nakusifia.

Anza na miguu mama.

#YNWA
 
Chini ya Jua hamna mwanamke Anayejiamin iwe katika Uzuri wake wa sura na umbo, Upishi, Mavazi, ufanyi kazi wake uko kazin, majukum ya nyumban n.k ..

Kwa haraka Ukimchukulia mwanamke kama kiumbe anayebeba Nyumba nzima, ni wazi kua nayeye hana hakika kama kila jambo kalifanya 100% inavyotakiwa.

Wanawake wanapenda KUSIFIWA KUSIFIWA KUSIFIWA , wanapenda Juhudi zao zionekane na kuthaminiwa, wanapenda michango yao nakila kitu kionekane kwako na ukitambue na yeye ajue wazi kua UMEKUBALI

Niivi , Anaweza kweli kua na Sura nzuri au Umbo zuri ,LAKIN KUNA KIUNGO ANAKICHUKIA SANA NA HANA HAKIKA NA UZUR WA KIUNGO Hicho ..mfano Anaweza simama kwa Kioo akajitazama juu chin ,alafu akachukua Pua yake.. Au matit, au Mguu, au Nywele, au Sikio, au Vidole n.k ....

Nawapa SIRI moja.

Kama huna Hela au Una hela ... Weee tanguliza kusifia tu , msifie anavyonukia, msifie Uzuri wake, sifia Saa alovaa, sifia Helen mwambie kabisa zimependesha masikio yako, Sifia macho yake, Sifia Pua, Sifia mguu, sifia makalio, sifia kiuno chake

Wee sifia tu.

Hata km ni mnakutana kazin... Wee msifie mara mnapokutana.. Sifia alivyopendeza, sifia anavyonukia, sifiaa sifiaa tu ,alafu SIFIA UCHAPAJI KAZI WAKE ,sifiaaa sifiaaa tu

Kama ni Mkeo nyumban sifia tu anavyokupikia, sifia anavyowajibika, sifia alivo mtamu kitandan, sifia tu uzuri wake ,msifiee msifieee

YAAN WEE MFANYE AAMINI KUA HAPA DUNIANI ,YEYE NDIO MWANAMKE PEKEE ALIYEKUWEZA, ALIYEKUKAMATA KISAWASAWA.....
Hata kama ana uchumi wake binafsi ( ACHA KUSHOBOKEA UCHUMI WAKE ) Wee sifia tu juhudi zake, sifia tu anavyopambana na maishaaaa.

Sheria ni ngumu ila ni sheria, KUMSIFIA MWANAMKE ni kitu kidogo sana ambacho Hakigharimu kitu, lkn Faida yake ni kubwa Sanaaaaaaaaaaa
Nahizi ni baadhi

Kumla Kimasihara kama sio demu wako

Yeye ataachana na michepuko mingine ili mradi tu keshajua ana mwanaume kamkamatia kisawasawa.

Hata usipomuhonga Pesa ,yeye karidhika tu ili mradi anajua keshakukamata ...( hapa wee utapaswa tu kumuelezea mipango yako , nakwakua wanaishi kwa ndoto badi ataridhika)

Kama umemuoa ndo kabisaa atakupa mambo matamu sana kuanzia kitandan, mapishi, na mahitaji meeengi ukiwa kama Mume wake.

.....Sifiaa Sifiaa Sifiaa

.....Jiaminiii ,onyesha una ujasiri ..( wanawake wanapenda mwanaume jasiri ).

....Kua Kijana Nadhifu wa Mwonekano.

Na mengine mengi kutegemea na aina ya Mwanamke.!!.

NB..SIFA IZO LAZIMA ZIAKSI VILE UNAVYOJISIKIA WEWE..

mf.. Wee Mwanamke jamani hayo macho yalivyo mazuri , nikikutizama tu huwa najikuta nmekua dhaifu ghafla,

KAMA ni demu wako, nyoosha maelezo kabisaa

............."najikuta nmekua dhaifu ghafla hadi mbooo hunisimama "[emoji23]

KAMA hujawah mtongoza, unamtaka au unataka kumla kimasihara.....

............"najikuta nmekua dhaifu ghafla ,kiasi kwamba huwa nawaza siku moja nikae nawee mahali patulivu tukiwa wawili, niyatizame hayo macho yako wakati unafika kileleni huwa yanakuaje!!
Sasa mkuu unanishaurije hapa? Unafikiri hii kitu inaweza fanya kazi? Naombeni mchango wenu wadau

 
Kwa hiyo ni kama serikali ya awamu hii[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Bado sana , afu we mtoto mtakuchapa
Mi nitakusifia kwa mistari ya Wimbo uliobora.
Mistari wa 5 unasema:- ""Malkia wangu Israel tambua kuwa nakupenda, una miguu kama zabibu za milima ya wakorintho na ngozi kama sufi""

Mi mkubwa banaa miaka zaidi ya 30😉😉

#YNWA
 
Mi nasifiaga hadi huwa anakibofu kizuri lkn hanipi! Nishamsifia mpk seli zake za damu lkn ndo kwanza ananiambia "kenzy we kaongo" haitoshi nishamsifia hadi vichunusi vyake kuwa vinaota kwa mpangilio nikajibiwa "toka hapa!"
Mwengine nikamsifia mpk jipu lake kuwa limeota pazuri! Nilipigwa na sufuria lilikuwa na dawa yake ya kujikandia na jipu lilikuwa limeotea kwapani..😬😬



KENZY Apo ulitisha mkuu😁😁
 
Mi nitakusifia kwa mistari ya Wimbo uliobora.
Mistari wa 5 unasema:- ""Malkia wangu Israel tambua kuwa nakupenda, una miguu kama zabibu za milima ya wakorintho na ngozi kama sufi""

Mi mkubwa banaa miaka zaidi ya 30😉😉

#YNWA
Miaka zaidi ya 30 kuda wa kuimba unautoa wapi? Kawaimbie watoto wa sekondari dogo acha ujinga aisee.😀
 
Miaka zaidi ya 30 kuda wa kuimba unautoa wapi? Kawaimbie watoto wa sekondari dogo acha ujinga aisee.😀
Banaaa..
Wimbo uliobora ni kitabu katika biblia.
Kiliandikwa na mfalme wa mapenzi (Nabii Suleiman). Aliandika akiwaimbia mabinti ya Israel.

Mi mtu mzuri kwako.
Maana mnahitaji mwanaume mwenye hofu ya Mungu na kwangu imejaa teleee.

#YNWA
 
Back
Top Bottom